Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #141
Thubutu yake kwa hii nchi..!! Kushuka mafuta?. Kwa tunaojua mapigo ya akina miguru na makatani,hapo wanamtafutia target mama . Hiyo ni danganyatoto. Na hapo kwa akili za WaTz ni kweli tutapumbazika kama wewe ulivyopumbazika. Lakini nakupa miezi mi3 tu bei itakuwa juu zaidi ya ilivyokuwa mwanzo. Tupo hapa hapa jukwaani utakuja kuniambia mkuu
spika yupiUlinukuu vibaya na hukuielewa kauli ya mh spika
Chawa na kiroboto wa watawala huna loolote mchumia tumbo tu weweAcha kudanganya watu hapa na kufanya upotoshaji, bila Shaka habari ya kushuka kwa Bei ya mafuta inekuumiza na kukusononesha Sana moyo wako
Hayo ndio maneno yenu vijana wa chademaChawa na kiroboto wa watawala huna loolote mchumia tumbo tu wewe
Juliana shonza,mwampamba (jokate)dadeki nyie wanyiha nyie🙆🙆🙆🙆
Kwani ndugu yangu Lucas mwashambwa "kumsema vibaya Rais" mantiki yake ni nini hasa toka kwa mwanaCCM mwenzake Bi Tulia Ackson..?Ndio maana alisema iwe ndani au nje ya chama akimaanisha Ni lazima tuijenge utamaduni wa kuheshimiana na kukosoana kwa heshima na adabu, kunyooka nao maana yake kutoa taarifa mahali husika ili hatua za kisheria zichukuliwe kwa utaratibu wa kisheria
Kabla ya kuhitaji nikufafanulie embu nenda kapitie maandiko katika kurasa za akina mdude za mwezi mzima halafu uniletee majibu hapa, ukitoka hapo nenda kawasikilize na kuwasoma pia akina pambalu na kakikundi Jake ndio utaelewa nacho zungumza hapa, kapitie post zao mbalimbali uone nacho kizungumzaKwani ndugu yangu Lucas mwashambwa "kumsema vibaya Rais" ni kama vipi kwani?
Hebu tushukurie mfano niseme hivi;
"...Serikali ya Rais Samia ni dhaifu sana na haizingatii wala kutilia maanani utawala wa sheria na kidemokrasia. Huyu mama hafai kuwa Rais, lazima aondolewe kwa sanduku la kura mwaka 2025..."
Hivi kwa maneno haya ninakuwa "nimemsema vibaya" Rais na kwa hiyo kwa mujibu wa Spika Dr Tulia Ackson, basi vijana wa CCM mnaweza kuruka na kumpoteza mtu huyu..?
Hebu jaribu kutufafanulia mantiki ya kauli ya mwanaCCM mwenzako alikuwa ana maana gani...!
Lucas mwashambwa tetea hoja yako kwa hoja..Kabla ya kuhitaji nikufafanulie embu nenda kapitie maandiko katika kurasa za akina mdude za mwezi mzima halafu uniletee majibu hapa, ukitoka hapo nenda kawasikilize na kuwasoma pia akina pambalu na kakikundi Jake ndio utaelewa nacho zungumza hapa, kapitie post zao mbalimbali uone nacho kizungumza
Sasa hapa nashindwa nikisaidiaje maana unasema huwafahamu hao, wakati kwenye maada yangu imejikita katika kuwazungumzia vijana wa chadema namna walivyokosa adabu na hekima kwa Tabia zao za kutukana matusi na kuweza kumtukana yeyote atakaye tofautiana nao mtizamo, Sasa Kama unasema huwafahamu Basi hata maada hii itakuwa ngumu Sana kuielewaLucas mwashambwa tetea hoja yako kwa hoja..
Usiniambie mimi niende kwa kuna Mdude au sijui Pambalu nk. Mimi siwajui hao. Kama kuna waliosema, hayo ni maoni yao na kwa mtindo (style) yao ya kutoa maoni..
Kama unadhani umetukanwa au uko offended na maneno ya kina Mdude au na mtu mwingine yeyote, na unahisi ni kinyume cha sheria, basi mshauri mtu huyo aende mahakamani ili apate haki yake...!
Lugha mbaya na ya matusi yenye athari hasi ktk jamii kwa mapana makubwa ni ile ya Spika Tulia Ackson kwa sbb directly alikuwa ana - instigate violence (machafuko) ktk jamii..
Pigia kelele hao ndugu. Na kama huoni hilo, basi wewe ni kiziwi na kipofu wa ufahamu...!
Nilikuelewa kwa kusoma heading ya mada yako tu, nikaelewa wewe ni mtu usiyejua utakalo wala uandikalo..!!Sasa hapa nashindwa nikisaidiaje maana unasema huwafahamu hao, wakati kwenye maada yangu imejikita katika kuwazungumzia vijana wa chadema namna walivyokosa adabu na hekima kwa Tabia zao za kutukana matusi na kuweza kumtukana yeyote atakaye tofautiana nao mtizamo, Sasa Kama unasema huwafahamu Basi hata maada hii itakuwa ngumu Sana kuielewa
Wewe ni chawa tuHayo ndio maneno yenu vijana wa chadema
Nadhani hiyo pombe itakuwa ni gongo ya mav!, na ndiyo wanatumia.Ni vijana waliojaa matusi utazani wameopolewa kwenye pipa la Pombe ya kienyeji,
Muulize Tulia aliyeagiza wapigwe!Ndugu zangu nimeuliza nipate kusaidiwa kupewa majibu maana nikiangalia na kufuatilia kwa makini naona hatari kubwa Sana iliyopo mbele ya chama hiki, wataalamu wanasema kuwa ukitaka kujuwa urefu wa maisha ya chama chochote Basi huna budi kuangalia uwezo wa kiuongozi wa vijana waliopoo katika chama husika ambao ndio hasa watakao kuwa viongozi wa kesho
Lakini ukiangalia na kutupia jicho kwa vijana waliopoo ndani ya chama hiki na ambao ndio viongozi kwa Sasa kiukweli unasikitika Sana na kuwaza sijuwi wanakula vitu gani huko chamani kwao,
Ni vijana waliokosa adabu hekima busara unyenyekevu na staha, Ni vijana waliojaa matusi utazani wameopolewa kwenye pipa la Pombe ya kienyeji, Ni vijana ambao kwao yoyote na wa umri wowote na wa cheo chochote anaweza kutukanwa matusi yote yanayoandikika na yasiyo andikika, Ni vijana waliojaa mihemuko na kuripuka Kama Moto wa gesi,
Kibaya zaidi vijana Hawa wa chadema Ni Kama hawana mlezi, hawana mtu aliyesimama Kama mzazi wao kimalezi, Hawana mtu wa kuwaongoza na kuwafunda, hawana mtu wakuwapa maelekezo, hawana mtu wa kuwachunga ili wakue kiuongozi, hawana mtu wakuwafunga breki ya midomo yao, Hawana mtu anayeweza Akazungumza wakamsikiliza na kumheshimu, hawana wazee huko, Ni vijana waliozibuka na kuzuzuka, Ni vijana wanao jazana ujinga muda wote, Ni vijana waliokosa muunganiko wa ubongo na midomo yao, hawana muunganiko wa akili na vidole vyao
Ni vijana wanao hisi kuwa huo ndio ushujaa, ukamanda wenyewe, ujana wenyewe. Chadema itafika muda kitakosa viongozi na kwa kuwa Hawa ndio kwa umoja wao wa kujazana ujinga na kukosa adabu na heshima watajikuta mmoja wao anakuwa kiongozi mkuu wa chama, hapa ndipo chama hiki kitakapozidi kupiga mueleka Zaid ya hapa kilipo, ndipo kitazidi kusereleka kuelekea shimoni, ndipo kitakapozidi kusambaratika, ndipo kitakapozidi kupuuzwa Zaid ya hapa
Maana hakuna atakaye kuwa tayari kuwasikiliza watu Kama Hawa waliojaa matusi, watu ambao wapo tayari kumtukana yoyote yule kwa matusi ya nguoni bila kosa lolote kisa tu katofautiana nao, hakuna ambaye yupo tayari na atakuwa tayari kwenda kwenye mkutano wao kusikiliza mimatusi tu, hayupo mtu wa namna hii hata siku moja
Sina cha kuwashauri vijana Hawa waliokosa adabu na hekima maana hiyo siyo kazi yangu, Nachoweza kuwaasa ni kimoja tu kuwa watukanane huko huko lakini ikija kwenye mamlaka ya nchi lazima waiheshimu Sana maana wasije wakafikiri kuwa Rais wa nchi Ni sawa na Rais wa Bao, lazima wajuwe kuwa Rais Ni mkuu wa nchi na kiongozi wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama aliye apa kuilinda nchi hii kwa nguvu zake zote ili iwe na amani na utulivu, hivyo hakuna anayeweza kuwavumilia watu wanao hatarisha usalama wa Taifa, lazima watawajibika na kuwajibishwa kwa mujibu wa Sheria za nchi yetu
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Haina shidaWewe ni chawa tu