Hivi viongozi kutoka US, UK nk. wakitembelea Arusha watapokewa na RC Makonda?

Hivi viongozi kutoka US, UK nk. wakitembelea Arusha watapokewa na RC Makonda?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
 
Mama Samia wala hajali kuhusiana na Hilo, anachowaza yeye anafikiri ni namna gani Bashite ataenda kumdhibiti Lema ubunge 2025 bila kujua atakuwa amemrahisishia Sana Lema njia ya kupita, kwa Lema Makonda ni mtaji mkubwa sana kwa SIASA za pale Arusha.


Lema ushindwe mwenyewe Tu tiyari umeachiwa goli wazi
 
Mama Samia wala hajali kuhusiana na Hilo, anachowaza yeye anafikiri ni namna gani Bashite ataenda kumdhibiti Lema ubunge 2025 bila kujua atakuwa amemrahisishia Sana Lema njia ya kupita, kwa Lema Makonda ni mtaji mkubwa sana kwa SIASA za pale Arusha.


Lema ushindwe mwenyewe Tu tiyari umeachiwa goli wazi
Yeye ndiye Sterling wa hiyo royal tour huko kaskazini na yeye ndiye mvurugaji wa hiyo royal tour kwa kumchagua Makonda, sijui anataka nini, ni royal tour au ni kivuruge tu? anawapa watu wakati mgumu sana wa kumtetea...
 
Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
Maza kaharibu sn
 
Yeye ndiye Sterling wa hiyo royal tour huko kaskazini na yeye ndiye mvurugaji wa hiyo royal tour kwa kumchagua Makonda, sijui anataka nini, ni royal tour au ni kivuruge tu? anawapa watu wakati mgumu sana wa kumtetea...
😃😃🤣
 
Mbona Israel inalipua mahospitali huko Gaza lakini wakubwa wote wa dunia wanakunywa chai huko

Ni kosa kuamini kwamba Mabeberu wana shida personal na mtu mmoja na kwamba wanapenda sana hizo haki za makabwela

Mabeberu wanachotaka ni maslahi yao tu yanyooke mkuu hata mkinyongwa hadharani kama kina chief Songea Mbano hawajali

Unajua kinachowapata raia wa Kongo huko North Kivu kwa ufadhili wa mabeberu?

Makonda anaweza kuwa Malaika au shetani kwa mabeberu kutegemea tu na mizania ya Assets vs Liabilities
 
Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
Ungekuwa jela wewe mtoto saizi ndukum yako ingekuwa kama ya tembo
 
Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
ACHENI MAJINGU HAYO ANATU8HUMIWA NA NANI?
 
Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
KAMA.WAMEMPA BAN HATA WATALIII.WAO WAPIGWE .MARUFUKU KWENDA HUKO
 
Back
Top Bottom