Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo hivyoWana mahusiano...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyoWana mahusiano...
Subiri Erythrocyte atakujibu🙂Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
Kwa nini mwenyekiti wa CCM anazidi kujiweka karibu na watu wachafu sana kama bashite? Si uthibitisho kuwa na yeye ni mchafu kama nyie?kwani wasipoenda ARUSHA nchi itakufa ? na je ni;lazima awapokee yeye? na nikiongozi gani wa nchi ulizozitaja huwa akitembelea nchi anapokewa na RC ?
Acha uchwa uchwara, amekuambia anataka umtetee?.Yeye ndiye Sterling wa hiyo royal tour huko kaskazini na yeye ndiye mvurugaji wa hiyo royal tour kwa kumchagua Makonda, sijui anataka nini, ni royal tour au ni kivuruge tu? anawapa watu wakati mgumu sana wa kumtetea...
Tulia bwana mdogoChadema hawana mtaji wowote Hapa, wametuvuruga sana na zile juhudi zao za kuhama chama na kuunga mkono jiwe.
Makonda aje atatue kero kibao ambazo zimekuwa zikitusumbua miaka nenda rudi. Hatutaki tena siasa za kiharakati ambazo zimeturudisha nyuma sana kimaendeo mkoa wetu.
Makonda aje tumpe kero zetu za ardhi, vibanda vya biashara stendi ndogo, kukatika umeme, maji, kutokuwa na stendi ya mkoa yenye hadhi ya jiji na mengineo kibao naamini ana uwezo huo wa kuzitatua na kuacha alama kubwa hapa Arusha.
Yaan Makonda awe na bifu kwa mabeberu kisa gays? Hata yeye ukimuuliza atakataa, iko 7bu nyingine kabisaa.Bifu la makonda na mabeberu ni kwenye ushoga na sio hayo mengine.
Arusha ni kitovu cha wasagaji nchini akalitazame na hilo
Kabisa.Mama Samia wala hajali kuhusiana na Hilo, anachowaza yeye anafikiri ni namna gani Bashite ataenda kumdhibiti Lema ubunge 2025 bila kujua atakuwa amemrahisishia Sana Lema njia ya kupita, kwa Lema Makonda ni mtaji mkubwa sana kwa SIASA za pale Arusha.
Lema ushindwe mwenyewe Tu tiyari umeachiwa goli wazi
Natumaini wewe si muumini wa mojawapo ya hizi dini za wazungu/waarabu..Yaani Wewe bado unaziamini taarifa za Wazungu Waliotutukana kwamba Waafrica walitokana na Nyani, Waligundua Ziwa victoria, Waligundua Bahari ya Hindi n.k.
Unawaamini Wazungu ambao Wakikuta Mtu anauzalendo kwa nchi yake Wanamwita Dikteta ili Wamchafue na kumuua, Wanampenda Chawa wao, Wanatufundisha kukalili maandishi wakati wao Wanafundishana kubuni vitu kwa ajili ya uchumi wao, Wanapenda Mapenzi ya Jinsia moja ili kuupoteza uzao wa Waafrica.
Nb: kama unawaamini Wazungu jipime akili. Ila Wapo Wazuri asilimia kubwa hawataki Waafrika tuishi na tupendane
kwani wewe huwezi kumjibu , mbona ni rahisi tuSubiri Erythrocyte atakujibu🙂
Ni swali la msingi tafadhali mama Samia tupe majibu.Makonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
Ok🙂kwani wewe huwezi kumjibu , mbona ni rahisi tu
Hapo sasa,CCM NI JANGA LA TAIFA HILIMakonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
You guys bwana, marufuku amepigwa marekani tu, wakikutana nae ardhi nyingine ni sawa, na watakutana nae. Simple as thatMakonda ni mtu wanayotuhumiwa na nchi za magharibi kwa kuhusika na vitendo vya mauaji ya watu wasio na hatia, pia amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nchi zao. Sasa ikitokea balozi au kiongozi mwingine wa nchi hizo kutembelea jiji la kitalii Arusha, anaweza kukutana na rc mpya?
Kwani bashite alikuchafua?Kwa nini mwenyekiti wa CCM anazidi kujiweka karibu na watu wachafu sana kama bashite? Si uthibitisho kuwa na yeye ni mchafu kama nyie?
Alianzisha kampeni ya kuwashughulikia mashoga akawauzi wazee wa suti nyeusi wakampiga banYaan Makonda awe na bifu kwa mabeberu kisa gays? Hata yeye ukimuuliza atakataa, iko 7bu nyingine kabisaa.
Alichafua hao wanamteuaKwani bashite alikuchafua?
Sawa wakili asiye msomiYou guys bwana, marufuku amepigwa marekani tu, wakikutana nae ardhi nyingine ni sawa, na watakutana nae. Simple as that