Hivi viongozi kutoka US, UK nk. wakitembelea Arusha watapokewa na RC Makonda?

Subiri Erythrocyte atakujibu🙂
 
kwani wasipoenda ARUSHA nchi itakufa ? na je ni;lazima awapokee yeye? na nikiongozi gani wa nchi ulizozitaja huwa akitembelea nchi anapokewa na RC ?
Kwa nini mwenyekiti wa CCM anazidi kujiweka karibu na watu wachafu sana kama bashite? Si uthibitisho kuwa na yeye ni mchafu kama nyie?
 
Yeye ndiye Sterling wa hiyo royal tour huko kaskazini na yeye ndiye mvurugaji wa hiyo royal tour kwa kumchagua Makonda, sijui anataka nini, ni royal tour au ni kivuruge tu? anawapa watu wakati mgumu sana wa kumtetea...
Acha uchwa uchwara, amekuambia anataka umtetee?.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Dah!
Haisaidii after samia ni makonda deal with it ndio maana matajiri wanahama nchi
 
Tulia bwana mdogo
 
Bifu la makonda na mabeberu ni kwenye ushoga na sio hayo mengine.
Arusha ni kitovu cha wasagaji nchini akalitazame na hilo
Yaan Makonda awe na bifu kwa mabeberu kisa gays? Hata yeye ukimuuliza atakataa, iko 7bu nyingine kabisaa.
 
Kabisa.
 
Natumaini wewe si muumini wa mojawapo ya hizi dini za wazungu/waarabu..
 
Ni swali la msingi tafadhali mama Samia tupe majibu.
 
Hapo sasa,CCM NI JANGA LA TAIFA HILI
 
You guys bwana, marufuku amepigwa marekani tu, wakikutana nae ardhi nyingine ni sawa, na watakutana nae. Simple as that
 
Kwa nini mwenyekiti wa CCM anazidi kujiweka karibu na watu wachafu sana kama bashite? Si uthibitisho kuwa na yeye ni mchafu kama nyie?
Kwani bashite alikuchafua?
 
Yeye ndiye atakayewapokea na watalazimika kufuata zote za nchi kutoka kwake, wao ndiyo wanaomtihumu, lkn siyo sisi.

Sheria zetu zipo wazi, mwenye tuhuma 1-2-3, haruhisiwi ktk 1-2-3, makonda mpk hapo alipo, ni kwa7bu hana 1-2-3. Wazungu usiwafanye kama miungu, pamoja na machaaaache mazuri, lkn wana mengi (ya wazi na ya siri) yenye kukuumiza wewe muuza madafu.

Makonda anatuhumiwa, lkn joji bush amefanya mauaji Iraq, na usijisahaulishe mauaji aliyoyafanya marekani nchini Syria, Libya na somalia, achilia mbali anayoyafanya netanyahu pale Gaza, eti mkihljihalalishia kwa kisingizio cha alichokifanya Hamas oct 7.
Makonda ndiye mkuu wa mkoa wa ARUSHA, hatuwezi kufanya mambo yetu kwa kufuata utashi wa magharibi. Mbona sisi hatuingilii teuzi za viongozi wao wa ndani?

JIKOMBOE MUAFRIKA, ACHANA NA UTUMWA WA KIFIKRA
 
Yaan Makonda awe na bifu kwa mabeberu kisa gays? Hata yeye ukimuuliza atakataa, iko 7bu nyingine kabisaa.
Alianzisha kampeni ya kuwashughulikia mashoga akawauzi wazee wa suti nyeusi wakampiga ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…