Hivi viongozi wanaamua kutengeneza taifa la wajinga?

Hivi viongozi wanaamua kutengeneza taifa la wajinga?

Kuboma

Senior Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
154
Reaction score
189
kwa yanayoendelea Tanzania yanasikitisha sana,tena ukitegemea wanayoyapromote ni viongozi walioko selikarini pamoja na chama cha CCM

Ukiangalia waasisi wa hiki chama walikuwa watu makini sana kuwatengeneza vijana ambao ndiyo viongozi wa sasa, lakini wenyewe wamegeuka kuwa waharibifu kwa vijana ambao ndiyo taifa la kesho,mfano angalia ujinga unaofanywa kila siku kwa mgongo wa CCM,

Naamini ile Tanzania iliyokuwa inatajwa kwa misimamo yake imara ya Nyerere inaenda au imeshakuwa ni taifa la aibu, hata kujitambulisha kusema mimi ni raia wa Tanzania imekuwa aibu, maana wameanza kuzarauliwa viongozi wetu mpaka raia,afadhali kipindi kile Magufuli alituheshimisha lakini siyo kwa ujinga unaondelea hivi sasa,

Inasikitisha sana,hamna cha wasomi, Viongozi wa dini wala nani,tumegeuka kama inchi ya kusadikika
 
Hakuna mtu mwenye maarifa na akili timamu akaamua kutengeneza jamii ya wajinga kwa makusudi ama uwezo wake isipokuwa mjinga pekee ndio ana uwezo huo. Kwa mantiki hiyo viongozi nao wamo, wanaingizwa cha kike na wajanja wa dunia; matokeo yake sote tunaisoma namba.
 
Hakuna mtu mwenye maarifa na akili timamu akaamua kutengeneza jamii ya wajinga kwa makusudi ama uwezo wake isipokuwa mjinga pekee ndio ana uwezo huo. Kwa mantiki hiyo viongozi nao wamo, wanaingizwa cha kike na wajanja wa dunia; matokeo yake sote tunaisoma namba.
Niliwaza hivi pia, maana kwa hali ilivyo hadi unajiuliza wamefikiri vipi kuamua hili?
 
Sasa kama waziri wa fedha elimu yake ya kufoji utasemaje?

Tz elimu inanunuliwa nina ushahidi na mbunge mmoja alinunua vyeti na hakuwai kusoma ila vyeti anavyo na ni OG
 
kwa yanayoendelea Tanzania yanasikitisha sana,tena ukitegemea wanayoyapromote ni viongozi walioko selikarini pamoja na chama cha CCM
Ukiangalia waasisi wa hiki chama walikuwa watu makini sana kuwatengeneza vijana ambao ndiyo viongozi wa sasa, lakini wenyewe wamegeuka kuwa waharibifu kwa vijana ambao ndiyo taifa la kesho,mfano angalia ujinga unaofanywa kila siku kwa mgongo wa CCM,naamini ile Tanzania iliyokuwa inatajwa kwa misimamo yake imara ya nyerere inaenda au imeshakuwa ni taifa la aibu, hata kujitambulisha kusema mimi ni raia wa inchi fulani maana wameanza kuzarauliwa viongozi wetu mpaka raia,afadhali kipindi kile magufuri alituheshimisha lakini siyo kwa ujinga unaondelea hivi sasa,inasikitisha sana,hamna cha wasomi, Viongozi wa dini wala nani,tumegeuka kama inchi ya kusadikika
ni rahisi saba kutawala jamii ya wajinga kuliko jamii ya werevu.
Last thing watawala wanataka ni urahisi wa kutawala
 
Tusipoangalia tutakuja kuwa kama Congo,maana wasaani na watu washenzi ndiyo wamekuwa kioo cha jamii,hata wakati wa Mabutu Seseseko wanamuziki ndiyo walioonekana kama kio cha jamii,inchi ikawa ya kichawa,leo hii wanapigwa na kainchi kenye ukubwa sawa na wilaya ya Congo,wamebaki kulialia,
Hatuna tena vijana wazalendo hata waliopo wanaitwa wapinzani, wamebaki kupuuzwq na kutekwa wanaopewa kipaumbele ni wale wasiokuwa na akili kina Dotto magari,Mwijaku na wengine,kwa kuwaangalia tu leo mfano tumevamiwa si ndiyo watakuwa wa kwanza kuikimbia inchi
 
Hakuna mtu mwenye maarifa na akili timamu akaamua kutengeneza jamii ya wajinga kwa makusudi ama uwezo wake isipokuwa mjinga pekee ndio ana uwezo huo. Kwa mantiki hiyo viongozi nao wamo, wanaingizwa cha kike na wajanja wa dunia; matokeo yake sote tunaisoma namba.
Naweza kukupinga hapa, Yes wanaweza tengeneza jamii ya wajinga iwe rahisi kuwatawala lakin si familia yake
Is why familia za hawa watu wanapelekwa top schools na kutengenezewa nafasi
 
Hata katika ngazi ya familia,mwanaume smart kichwani anayeendana naye ni mwanamke smart kichwani na si vinginevyo.Kwa kuwa CCM ndiye mama wa watanzania weupe kichwani utabaki unahangaika peke yako wenzio wanakushangaa.Mtanzania hajui umuhimu wa kupiga kura,kiongozi anayeshinda uchaguzi kwa hila hakumbani na ukinzani,anayoyafanya awapo madarakani hahojiwi,kwa kifupi kajitwika uungu.Maumivu ya Mtanzania hayana mfariji na akidanganyiwa kitu kidogo anaridhika na kusahau.Kifupi maisha yetu ni dansi katika utukufu wa mazimwi kwani kabla zimwi halijamla anajiona mjanja na haoni haya kulisifu.
 
kwa yanayoendelea Tanzania yanasikitisha sana,tena ukitegemea wanayoyapromote ni viongozi walioko selikarini pamoja na chama cha CCM

Ukiangalia waasisi wa hiki chama walikuwa watu makini sana kuwatengeneza vijana ambao ndiyo viongozi wa sasa, lakini wenyewe wamegeuka kuwa waharibifu kwa vijana ambao ndiyo taifa la kesho,mfano angalia ujinga unaofanywa kila siku kwa mgongo wa CCM,

Naamini ile Tanzania iliyokuwa inatajwa kwa misimamo yake imara ya Nyerere inaenda au imeshakuwa ni taifa la aibu, hata kujitambulisha kusema mimi ni raia wa Tanzania imekuwa aibu, maana wameanza kuzarauliwa viongozi wetu mpaka raia,afadhali kipindi kile Magufuli alituheshimisha lakini siyo kwa ujinga unaondelea hivi sasa,

Inasikitisha sana,hamna cha wasomi, Viongozi wa dini wala nani,tumegeuka kama inchi ya kusadikika
Niliwaza hivi pia, maana kwa hali ilivyo hadi unajiuliza wamefikiri vipi kuamua hili?
Kumeamliwa nini tena
 
kwa yanayoendelea Tanzania yanasikitisha sana,tena ukitegemea wanayoyapromote ni viongozi walioko selikarini pamoja na chama cha CCM

Ukiangalia waasisi wa hiki chama walikuwa watu makini sana kuwatengeneza vijana ambao ndiyo viongozi wa sasa, lakini wenyewe wamegeuka kuwa waharibifu kwa vijana ambao ndiyo taifa la kesho,mfano angalia ujinga unaofanywa kila siku kwa mgongo wa CCM,

Naamini ile Tanzania iliyokuwa inatajwa kwa misimamo yake imara ya Nyerere inaenda au imeshakuwa ni taifa la aibu, hata kujitambulisha kusema mimi ni raia wa Tanzania imekuwa aibu, maana wameanza kuzarauliwa viongozi wetu mpaka raia,afadhali kipindi kile Magufuli alituheshimisha lakini siyo kwa ujinga unaondelea hivi sasa,

Inasikitisha sana,hamna cha wasomi, Viongozi wa dini wala nani,tumegeuka kama inchi ya kusadikika
Duuu
 
Tanzania kuendelea chini ya CCM haiwezekani. Nchi hii inatawaliwa na kikundi kidogo sana cha watu.

Kama kweli tupo seriously kutaka maendeleao basi inabidi basi inabidi tubadilishe kabisa upatikanaji wa viongozi wa kitaifa. Kuwe na uhindani wa uwazi na waulizwe maswali magumu, vile vifungu ktk katiba vinavyoseama kiongozi hatashitakiwa kwa makosa aliyoyafanya akiwa madarakani vifutwe na viwekwe vifungu vya kuweza kumshitaki kwa makosa atakayoyafanya.

Kwa kufanya hiyo uongozi wa juu hatutaona watu wa ovyo wakigombania hiyo nafasi.

Ile darama alkyoifanya kikwete Dodoma ni adui kwa ustawi wa maendeleo ya taifa letu
 
Tanganyika inaharibiwa kwa makusudi,ila watu wengi haswa wale wa rohoni hawaangalii hilo.Upuuzi umepewa kipaumbele kwa makusudi
 
Back
Top Bottom