Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nenda Karume kanunue makoti na ujiandae na safariHela zipo, sio la kuuliza hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Karume kanunue makoti na ujiandae na safariHela zipo, sio la kuuliza hilo
Mnatuogopa 😎Me nilitaka kukutag nikajikuta nimesahau user name yako eti
Tembea mikoa tofauti tofauti ndo utaona upekee wa darDar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Makoti nitanunua huko huko bana sokoniNenda Karume kanunue makoti na ujiandae na safari
Dar ukiwa na hustler mentality kutoboa ni rahisi sana lakin mtu anakuja dar kutwa kusambaza barua maofisin posta utachelewa sana😊😊 Kwa Tanzania DSM ni hub, mikoa mingine bado sana kwa DSM. DSM kama una connection na good character unafika mbali mitandao ya pesa ni mingi sana, ni ku tune frequency zako
Wacha weeeeDar ukiwa na hustling mentality kutoboa ni rahisi sana lakin mtu anakuja dar kutwa kusambaza barua maofisin posta utachelewa sana
Ndo maana hata mawaziri na taasisi mbalimbali za serikali wamegoma kuhamia dodoma yaani ni kwa mbinde kwelikweli utakuta kwa wiki siku 5 wako dar mbili dodomaArusha hakuna harakati kama DSM mzee..DSM ndo Tanzania...🤣🤣🤣🤣
Shida ni kwamba utalinganisha Dar na wapi kwa Tanzania, hapo ndio inabidi uikubali tu.Dar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Sio kweli bila jitihada na kujiongeza hutoboi, ukiwa mtu wa jitihada na kujiongeza unazipata hizo connectionDar bila connection hutoboi
kabisa kama ni wa kiume unakuwa panya-road kama wa kike utakuwa unaliwa mbususu kimasihara ili uishiDar bila connection hutoboi
Sasa inavyoonekana unataka ligi haya harakati za uvuvi basi...harakati gani zitaje...
hakuna biashara yoyote inayofanyika dar na arusha isiwepo...ndo mana nimesema labda harakati zinazohusu bahari
Dsm ukiwa na harakati za pesa..unausafiri wako na kajumba kako..daah huwezi hama.Kuna mdogo wangu baada ya kumaliza chuo aling'ang'ania huko hakutaka kabisa kurudi na akija nyumbani hataki kukaa sana anarudi dar
Pia kuna rafiki yangu tulimaliza nae o level hakuendelea akaingia dar akatoboa maisha fasta baadae akajichanganya akafanya uwekezaji mkubwa maeneo ya mbezi beach akatumia pesa yake nyingi na biashara haikumlipa kwa namna alivyotegemea akafilisika akambid arudi mkoani akaanza kulima bustani mpaka sasa ila bado huwa anafikiri kilimo kitamtoa na atarudi dar
Mimi dar kulinishinda kabisa,kwanza jasho na ghasia za madaladala kila siku zilinishinda
Namba 5 uko sahih kabisa kwa dar kupata viwalo ni raisi sana tena kwa bei nzur hata mbususu upo sahihi
Sasa umekataa nini na umekubali nini?Sio kweli bila jitihada na kujiongeza hutoboi, ukiwa mtu wa jitihada na kujiongeza unazipata hizo connection
Ni kweli nilipata demu Arusha nilikuwa namtoa pesa akawa anashangaa pesa yenyewe ndogo tu, akawa anasema vijana wa kwao Arusha kukupa 5000/= Ni ngumu wana roho ngumu kwenye kutoa akasema Dar unaweza kumuomba mtu pesa akakupa tofauti na kwa Arusha unaweza kuuwawa kwa ajili ya 5000 tu uliyokopeshwa.Geneva my foot...yani DSM ukisuka mipango yako vizuri milioni 50 hizi hapa unazichungulia issue ni kukutana na watu sahihi kwenye harakati zako...unajua watu wa DSM wanaweza kukupa hata ramani za kutoka ila huko mikoani watu wanakunja sana...[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani jaribu kutoka Dar nenda mikoani utaona kama upo gerezani kwanza mikoani hakuna sehemu za kutembea yani miji yao ni midogo haija tanuka kingine mikoani wanawai kulala, Mimi niliendaga Zanzibar Yani ikifika saa 3 usiku huwez kupata huduma za wakala na maduka yanawai kufungwa Yani unguja unaweza ukalala na njaa pesa unayo, Tofauti na dar unaweza kuamka usiku wa saa saba ukaenda dukani kununua kitu unacho kiitaji au kumtumia mtu pesa.Dar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake