Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.
Maajabu ya jobless wa Dar ni pale unapendeza mwili wakati mind iko nyakanyaka!!
 
[emoji4][emoji4] Kwa Tanzania DSM ni hub, mikoa mingine bado sana kwa DSM. DSM kama una connection na good character unafika mbali mitandao ya pesa ni mingi sana, ni ku tune frequency zako
tatizo la watu wengi wanaishi dar wengi wao wanadhiki sana lakini kwa kujikweza utadhani wamewekeza kumbe wavimba macho tu kulala saa 7 usiku kuamka saa 11 asubuhi mashisha yao kwenye dala 5 kipato chao kinaishia kwenye nauli na kodi ya nyumba na kula tu huku miaka ikienda mbio ila kwa kujikweza wanaweza
 
Unaelewa maana ya harakati? Wapi nimetaja fly over au bahari...jikite kwenye point mkuu...sehemu rahisi kutoboa ukiwa na connection sahihi ni DSM...na DSM ndo Tanzania mzee...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hiyo ni kweli lakini wengi walihamia dar wakdhani watatoboa wakishia kugombadia usafiri wa daladala
 
harakati gani zitaje...

hakuna biashara yoyote inayofanyika dar na arusha isiwepo...ndo mana nimesema labda harakati zinazohusu bahari
dar arusha walio wekeza ndio wanao faulu kwa wale wenzangu mimi kila siku ni kusifia walio wekeza na kujikweza kumbe wanaishi uswazi kwa mfuga mbwa
 
Dar es salaam unaweza ukapiga hesabu ndani mwezi umeingiza zaid ya milioni na hauna kazi.
Ukijichanganya vizuri na watu Dar kuna pesa nyingi sana.
kwa vijana wasio jua maisha ya dar na utafitaji wake utawadanganya lakini ss utudanganyi
 
Yani jaribu kutoka Dar nenda mikoani utaona kama upo gerezani kwanza mikoani hakuna sehemu za kutembea yani miji yao ni midogo haija tanuka kingine mikoani wanawai kulala, Mimi niliendaga Zanzibar Yani ikifika saa 3 usiku huwez kupata huduma za wakala na maduka yanawai kufungwa Yani unguja unaweza ukalala na njaa pesa unayo, Tofauti na dar unaweza kuamka usiku wa saa saba ukaenda dukani kununua kitu unacho kiitaji au kumtumia mtu pesa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
wewe dar umewekeza nn?
 
Mikoani ukiwa huna pesa basi jua huna namna ya kuchomoka.

Hakuna Dili, pesa haizunguki nyie acheni tu
wewe sio mfanya biashara unapo sema hela mikoani haina mzunguko huo ni mkoa gani? hiyo pesa isiokuwa na mzunguko ni sh ngapi? hayo maduka ya kiriakoo yanategea watu gani wateja wao?hayo magodauni ya tandika ya mchele na maharagwe yanategemea wapi? mabibo buguluni ilala temeke hayo masoko bizaa zinazwo uzwa zinatoka wapi? kiwanda cha wazo sumiti kiauza wapi sumeti yake nondo endela kujidanganya heti mikoani hakuna mzunguko kume akili yako ndio isiozunguka
 
Dar ni Kila kitu mazew Nina miaka 10 naishi mkoa

Nimezaliwa na kukulia dar na baadhi sehemu ya elimu yangu nilipata dar

Lakini katika hio miaka 10 ya kuishi mkoani sijawahi itoa dar moyoni.

Nimegoma kujenga mkoani.

Ndoto zangu ni dar.

Nikipata kajilikizo tu nakimbuliaga dar[emoji1][emoji1787].

Kuishi mkoani unakuwa mzembe mzembe kwenye utafutaji.

Mkoani kilimo tu kama hakuna fursa ya kilimo labda uwe mganga.
ebu tupe njia kwa mtu abae hana mtaji jinsi anavio weza jikwamua akiwa dar
 
Mkuu mikoani ikifika saa mbili watu wote wanaenda Majumbani kwao kingine mikoani miji ni midogo kila siku unakwa upo sehemu moja inachosha unakuwa kama mtoto changa kila siku upo nyumbani siku akitoka kwenda clinic na kurudi nyumbani, sasa kijana aliyezoea dar uwanja mpana unakula kwa urefu wa kamba yako, si unaona Serikal imeamia Dodoma lakini kila Ijumaa watu wapo dar na V8

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
kazi yako kuwasifia watoto wa mawaziri wasitafu wanaoishi mbizi bichi masaki ositabei huku ukilala saa 6 usiku nakuamka saa 11 asubuhi kuwai daladala
 
Pesa za hivyo ni za WIZI na nyingi zinatokana na upigaji kwenye vyanzo vya pesa za serikali a.k.a kulamba asali.
Enzi za jiwe watu wa aina hii walikimbia mji.
vijana wengi wakibongo kazi kusifia walio fanikiwa ukimwambia akupe njia wakupata hela hizo anaigia mitini
 
DSM ndio maisha yalipo na ndipo connection za maisha zilipo na hii ni almost kwa majiji yote ya kibiashara Duniani anzia New York, London,Tokyo shuka mpaka Jozi kwa madiba,Lagos Nigeria mpaka Mzizima yetu.
tupe njia za kupata hela huko dar
 
Niliwahi kuishi dar..........nilichojifunza dar watu wengi wanapoteza muda,
umepatia kabisa,naongezea unakuta mtu anaishi mbagala anafanyia kazi kawe kulala kwake saa 7 kuamka saa 11 asubuhi kipato chake chote kinaishia kwenye nauli na kodi ya nyumba akibatika kujenga anajenga mabondeni maji shida hata pikipiki aifiki kazi yao kubwa jujikweza na kuwa sifia matajiri na waizi wa serikalini
 
Dar na Arusha. Sio dar pekee yake. Mtu wa Arusha hashtuki na Dar. Mikoa mingine sawa.
 
Sawa arifu 😅😅😅
Mshamba wa AR chuga niko hapa.Hebu njoo nikupeleke kwa Mromboo.Huku sisi hatuuzi nyama kwenye vijiti ni kwa kilo halafu upaki hilo gari lako kizembe hapo Dar tunalileta huku tunalichinja au ndani ya saa moja unaweza kutana na gari yako na usiijue.
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).
Maisha yakikupiga Dar ni afadhali yakupige Mbeya, Mwanza, Arusha. etc
2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.
Competition ni kubwa sana Dar es Salaam
3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.
Magonjwa ya zinaa ni mengi, pia magonjwa mengine makubwa (pandemics) kama COVID huathiri sana hapo
4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.
Quality ya chakula Dar sio nzuri, vyakula vingi si fresh kama ilivyo vinapotokea
5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.
Pia nguo huchakaa mapema kwasababu ya joto na jasho. Nguo nzuri zipo kila mahali uwe na pesa tu
Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Joto, uhaba wa maji, foleni za magari, uhalifu mkubwa, uchafu wa mazingira hufanya maisha Dar kuwa magumu kuliko sehemu nyingi nchini.
 
Sio povu wanasema ukweli wao. Mbona Dar uswahili, ujinga na umasikini ni mkubwa. Watu wengi afya mbovu, lishe duni.
Miaka 5 iliyopita nilifika Sijui Temeke/Tandika foma ndani ndani huko mchana wa saa 7, hali ilikuwa inatisha. Umasikini umetamalaki, inakatisha tamaa, watoto wao kukimbilia South wala siwalaumu.
 
Back
Top Bottom