ndiyo narudi palepale huyo N.Tesla angehamia tanzagiza enzi hizo angeishia “kujaza tumbo kwa rushwa” pia, utaona Tesla kwao ni Serbia na kama angerudi Serbia siajabu asingefanya mengi aliyoyafanya, na wala leo hii tusingemjua, lkn alihamia Christian (western) Country (USA) ambako wanafwata meritocracy na huko akapata nafasi ya kung’aa, hivyo hata Einstein kama angezaliwa tanzagiza hakuna mtu angemjua leo hii angefifia na kupotea tu …
Tofauti ya mzungu na mtu mweusi ni mindset zao. Mtu mweusi akishafanya kazi akapata hela ya kula na ya kujisitiri basi ameshamaliza. Mzungu anajiuliza maswali kama vile kwanini apple limedondoka, radi inatoka wapi? na maswali mengine ambayo mtu mweusi hana muda nayo. Ndo maana wazungu wanafanya gunduzi mbalimbali ambayo mwafrika hana muda nayo.
Swali dogo nitajie nchi ya Afrika ambayo inafanya research za masuala ya anga? lakini angalia wenzetu kila siku wanaumiza vichwa kwaajili ya anga.
Tofauti ya mzungu na mtu mweusi ni mindset zao. Mtu mweusi akishafanya kazi akapata hela ya kula na ya kujisitiri basi ameshamaliza. Mzungu anajiuliza maswali kama vile kwanini apple limedondoka, radi inatoka wapi? na maswali mengine ambayo mtu mweusi hana muda nayo. Ndo maana wazungu wanafanya gunduzi mbalimbali ambayo mwafrika hana muda nayo.
Swali dogo nitajie nchi ya Afrika ambayo inafanya research za masuala ya anga? lakini angalia wenzetu kila siku wanaumiza vichwa kwaajili ya anga.
Kabla ya kutumia hizi dawa kulikuwa kuna dawa za mitishamba ila maendeleo Chemistry ilifanya kuweza ku extract ambacho kinapatikana kwenye mitishamba au kutengeneza equivalent kutoka maabara hio sio beberu wala ndama wala mbuzi bali ni muendelezo wa innovations kutoka generation mpaka generation
If I have seen further than others is by standing on the shoulders of the Giants....
Na tukiongelea kuhusu tiba hivi unajua mtu mweusi (mtumwa) alikuwa instrumental kugundua chanjo ya smallpox ? (Onesimus)
Kwahio ni upuuzi wa mtu mweusi au ni uroho wa viongozi wachache.., na misaada ya nini tukiacha kukipelekea kisiwa kama Uingereza chakula unadhani nani atakufa kwanza kwa kukosa basic needs ? Ndio hapo wewe kwa kuangalia sysmptons unalaumu symptoms badala ya kutafuta kosa / shida ni nini ili uweze kutibu root causes (Na fikra kama zako ukichangia na indoctrination na mental slavely ya tangia kipindi cha utumwa ndio inatumiwa na so called mabeberu kuendeleza Imperialism) au wakati viongozi wako wanauza mtaji wa nchi unashangilia sababu umeshajiaminisha kwamba sisi hatuwezi...
There has been a shift in our way of Thinking. We used to think we can became self reliant and do all what needs doing.., of-course nothing wrong with assistance here and there....; Now our mentality has changed and we think we can't do anything worthwhile without assistance of others. We should...
Asilimia ngapi ya Magari hapa Tanzania au Africa kwa ujumla yanaagizwa kutoka Ulaya ? Pia kuanzia ancient times kumekuwa na different vehicles ndio hapo nakwambia ni mwendo wa kuboresha na inafika wakati kunakuwa na a breakthrough.., Mfano Steam engine, Internal Combustion n.k. ila vyote hivyo ni kwa kuchukua ideas za kilichopita na kuboresha wanaovuma leo huenda huko nyuma walikuwa hawapo..., na utengenezaji (Mass Production) wala haitegemei akili zako bali ni comperative advantages na economy of scale... There was a time wakati sisi huku tunatumia Punda au wengine ngamia pengine walikuwa wanatumia Farasi..., ila ilivyokuja kazi nzuri credit lazima wapewe pia waliokuja na theories mfano the knowledge of ideal gas laws ilisaidia sana katika utengenezaji wa Internal Combustion Engine
If I have seen further than others, is by standing on the Shoulders of the Giants (Isaac Newton 1675)
Shida Afrika unaweza kuta mtu anaakili lakini anatumia akili zake kujishibisha mfano nchi yetu ina miaka 63 ya uhuru lakini bado shule ni chache najiulizaga kodi zetu zinapelekwa wapi ukizingatia ya kuwa bado tunakopa.
Kabla ya kutumia hizi dawa kulikuwa kuna dawa za mitishamba ila maendeleo Chemistry ilifanya kuweza ku extract ambacho kinapatikana kwenye mitishamba au kutengeneza equivalent kutoka maabara hio sio beberu wala ndama wala mbuzi bali ni muendelezo wa innovations kutoka generation mpaka generation
If I have seen further than others is by standing on the shoulders of the Giants....
Na tukiongelea kuhusu tiba hivi unajua mtu mweusi (mtumwa) alikuwa instrumental kugundua chanjo ya smallpox ? (Onesimus)
Kwahio ni upuuzi wa mtu mweusi au ni uroho wa viongozi wachache.., na misaada ya nini tukiacha kukipelekea kisiwa kama Uingereza chakula unadhani nani atakufa kwanza kwa kukosa basic needs ? Ndio hapo wewe kwa kuangalia sysmptons unalaumu symptoms badala ya kutafuta kosa / shida ni nini ili uweze kutibu root causes (Na fikra kama zako ukichangia na indoctrination na mental slavely ya tangia kipindi cha utumwa ndio inatumiwa na so called mabeberu kuendeleza Imperialism) au wakati viongozi wako wanauza mtaji wa nchi unashangilia sababu umeshajiaminisha kwamba sisi hatuwezi...
There has been a shift in our way of Thinking. We used to think we can became self reliant and do all what needs doing.., of-course nothing wrong with assistance here and there....; Now our mentality has changed and we think we can't do anything worthwhile without assistance of others. We should...
www.jamiiforums.com
Asilimia ngapi ya Magari hapa Tanzania au Africa kwa ujumla yanaagizwa kutoka Ulaya ? Pia kuanzia ancient times kumekuwa na different vehicles ndio hapo nakwambia ni mwendo wa kuboresha na inafika wakati kunakuwa na a breakthrough.., Mfano Steam engine, Internal Combustion n.k. ila vyote hivyo ni kwa kuchukua ideas za kilichopita na kuboresha wanaovuma leo huenda huko nyuma walikuwa hawapo..., na utengenezaji (Mass Production) wala haitegemei akili zako bali ni comperative advantages na economy of scale... There was a time wakati sisi huku tunatumia Punda au wengine ngamia pengine walikuwa wanatumia Farasi..., ila ilivyokuja kazi nzuri credit lazima wapewe pia waliokuja na theories mfano the knowledge of ideal gas laws ilisaidia sana katika utengenezaji wa Internal Combustion Engine
If I have seen further than others, is by standing on the Shoulders of the Giants (Isaac Newton 1675)
Kwani wazungu hawajui ngono? Tena wao ndo wametamalaki kwenye hivo vitu kama ushoga. Shida nmwafrika hana time na maswali ya ajabu kama vile "kuna nini ndani ya miili yetu?"
Tulishindwa kuweka mambo yetu katika maandishi. Mf. Mtu anajua dawa fulani na inakuwa ni siri yake, hamfundishi mtu, anakufa na ujuzi wake ambao hakuweka katika maandishi. Tatizo jingine tunaamini pasipo kuelewa. Tumepuuza mila zetu na kuamini za wazungu, wazungu waliteka akili zetu ndio maana hatuna akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.