Haaaahaaa members hawataki kuwasikiliza waliowachaguaLeo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Yaani believe me CCM wenyewe wanajuta kukosa upinzani,,yaani Bunge limepoa hatari[emoji1]Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
CCM wanatamani upinzani ungekuwepo Bungeni angalau bunge lichangamkeLeo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Hahaaa. Ila kesi ya Mbowe unajua kama inaendelea?Huwezi amini sijui Kama Kuna bunge linaendelea.
Huwezi kulinganisha Jambo la mbowe na upuuzi wa ndugaiHahaaa. Ila kesi ya Mbowe unajua kama inaendelea?
Kwan Mbowe ana kesi mahakani? Mbona mm sijuiTuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Gunzi na betri wapi na wapi,Tulikubaliana ziwe betri tupu nazinawaka,aliyewasha hayupoooYaani believe me CCM wenyewe wanajuta kukosa upinzani,,yaani Bunge limepoa hatari[emoji1]
Lugha ya kuudhiHakuna Bunge Tz,kuna majambazi wapo kwenye jengo la serikali wanajambia viti na kupiga meza plus full kulala...hao watu wananchi hawawezi kuwafuatilia kwa kuwa hawakuwachagua!
Mahakani ni wapI?Kwani
Kwan Mbowe ana kesi mahakani? Mbona mm sijui
Hilo nalo nenoSi mshahara na posho tunapata!!
Unless na wewe ni zuzu mwenzao ndio utafatilia.Yaani upoteze muda kuwafuatilia mazuzu?
Hahaha wanavuna walichopanda. Dhambi ya uchaguzi ccm itawatafuna sana.Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Hahaha kama MimiHuwezi amini sijui Kama Kuna bunge linaendelea.
Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.