PyeeeπKuna mmoja hapa na macho ya kawaida tu, bas nikamwambia unamacho mazuri sana natamani niwe nakuangalia mara zote, eeh basi anajua ni kweli amekaa anayazunguusha zunguusha kumbe hakuna maajabu yoyote.
How possible?
HahaπKama mm mkuu,kuna pisi moja sura ka ukuni niliitania kua ikicheka ni Wema sepetu mtupu,Basi babako Kila nikikutana nayo manzi inatabasamu mpaka sio poa,(tatizo alikuwa akitabasamu ni kama analia).
ALIHAMA mkoa bt Kila nikiwaza naumia kwann nilimdanganya
Hahahaha ππππππ,,,mtatuua kwa uongo nyie viumbeKama mm mkuu,kuna pisi moja sura ka ukuni niliitania kua ikicheka ni Wema sepetu mtupu,Basi babako Kila nikikutana nayo manzi inatabasamu mpaka sio poa,(tatizo alikuwa akitabasamu ni kama analia).
ALIHAMA mkoa bt Kila nikiwaza naumia kwann nilimdanganya
Ukikua utaachaπDaah π mm bado Mtakatifu sana kwenye mambo ya mapenzi mana hata kudanganya siwezi
Taratibu basi .. sio jukwaa la kutuzalilisha bana πππππNi kama wao wanavowadanganya kuwa mnaweza kupiga miti kumbe ni unafiki tu ur nothing
Kama ukuaji wnyw ndio huu π bc sitaki kukuaUkikua utaachaπ
Sisi wa kimoja chali tena dkk moja tunadhalilishwa πTaratibu basi .. sio jukwaa la kutuzalilisha bana πππππ
Stuqid kabisa sijui wanatuchukuliaje hawa πππSisi wa kimoja chali tena dkk moja tunadhalilishwa π
Bloo naomba unitafutie pisi moja aina ya wale wenye kichuguu alafu chchu ndogoDaah π mm bado Mtakatifu sana kwenye mambo ya mapenzi mana hata kudanganya siwezi