Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Kuna mmoja hapa na macho ya kawaida tu, bas nikamwambia unamacho mazuri sana natamani niwe nakuangalia mara zote, eeh basi anajua ni kweli amekaa anayazunguusha zunguusha kumbe hakuna maajabu yoyote.

How possible?
 
Kama mm mkuu,kuna pisi moja sura ka ukuni niliitania kua ikicheka ni Wema sepetu mtupu,Basi babako Kila nikikutana nayo manzi inatabasamu mpaka sio poa,(tatizo alikuwa akitabasamu ni kama analia).
ALIHAMA mkoa bt Kila nikiwaza naumia kwann nilimdanganya
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂,,,mtatuua kwa uongo nyie viumbe
 
Back
Top Bottom