Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

Ni ngumu kutengeneza dawa ya kitu ambacho hakipo.
 
Si hii inafanyiwa majaribio nchi nyingi tu, nikama imeshapatikana, sema haaijaidhiniswa tu. Ungesama KISUKARI na HOMA ya INI
 
Bado ni DEBATE kuna theory zinasema ni duara nyingine Flat nyingine Sphere nyingine Oval kila mtu na Lake dunia bado hii Technology bado changa sanaa.Ni kweli zimeanza zamani ila bado changa sanaa Tech za viwanda,Simu hazima hata miaka 50
Una uhakika na kila anachosema mtu mweupe? Yawezekana wao wanajua kila kitu hasa wale walio kwenye nafasi za koutawala na sisi wameona tu fahamu vitu vichache mno halafu Tuamini ndio vipo hivyo tu vinavyofahika
 
Virusi vya Ukimwi vyenyewe ndio shida, vinabadilika badilika huwezi kuviwahi, hamna dawa ya virusi vya aina yoyote na ndio maana uliona corona ilitesa sana dunia.
 
Hii hoja hua naona hai make sense kwasababu hata wakipata dawa bado si wataendelea kufanya biashara ya dawa maana si watu wataendelea kuambukizwa watahitaji dawa kwa ajili ya kupona kama ilivo malaria, amoeba, kaswende, uti nk.
Ukipona malaria unaendelea kumeza dawa za malaria??

Ukianza ARV haina kupona, ni endelevu mpaka ukomo wa uhai wako.
 
Hatuna baya tunaishi kwa kutegemeana.

Akili kumkichwa!
 
Kwani kwenye mifano yako lazima umshilikishe mzee ?

Hiyo nyungu ndo ilitusaidia Wananchi na baadhi ya hospital kubwa za Tanzania wakaanzisha huduma ya nyungu na matokeo yake yanajulikana.
We had a very big problem. Sema Mungu fundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…