Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
The world is FlatBado ni DEBATE kuna theory zinasema ni duara nyingine Flat nyingine Sphere nyingine Oval kila mtu na Lake dunia bado hii Technology bado changa sanaa.Ni kweli zimeanza zamani ila bado changa sanaa Tech za viwanda,Simu hazima hata miaka 50
Onesha aliyepona nitaacha ubishi...acha ubishi dawa ipo kabisa ila huo ni mradi kama ilivyo mingine
Hata ukitumia kinga pia unaingia kwenye mfumo wa wenye Viwanda vya Kondom ambao ni hao hao.Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV
sawa na mimi nakupa njia mtafute daktari bingwa umuulze haya ikiwa unamfanyia mgojwa wa ukimwi oparation je huwa mnameza dawa gani au mkifanya oparation ngumu na zenye mazingira tata huwa mnameza dawa gani akikujbu njoo hapa kama utpata jibu.Onesha aliyepona nitaacha ubishi...
Lete prove nitaacha ubishi
ππππππ Kuna kitu ujaelewa kuhusu zile dawa na ufanyaji kazi yake...sawa na mimi nakupa njia mtafute daktari bingwa umuulze haya ikiwa unamfanyia mgojwa wa ukimwi oparation je huwa mnameza dawa gani au mkifanya oparation ngumu na zenye mazingira tata huwa mnameza dawa gani akikujbu njoo hapa kama utpata jibu.
Sio story huo ni mradi wa watu fulani. Na wanapiga pesa nakuzijaza kwenye swimming wanaziogea kama maji.Hizi story hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ngoja tuone
Ina maana hizo dawa hapa Afrika hakuna matajiri ambao wamenufaika na huo mradi wa dawa au wameshindwa kumudu hizo pesa ?Sio story huo ni mradi wa watu fulani. Na wanapiga pesa nakuzijaza kwenye swimming wanaziogea kama maji.
Shtuka Mwana....
dawa iipo full stop hio ni biashara ya wakubwa wa dunia.ππππππ Kuna kitu ujaelewa kuhusu zile dawa na ufanyaji kazi yake...
Usitake kuleta stori kuwa dawa zipo wakati ujaonesha huyo aliyepona kwa hizo dawa....
Dawa ipo imetibu nani ..?dawa iipo full stop hio ni biashara ya wakubwa wa dunia.
Now is your problem solved? Poor mind.We had a very big problem. Sema Mungu fundi
Kwa hiyo dawa za HIV haziwezi kuuzwa kwa faida?Inasadikika kuwa dawa ilishatengenezwa kitambo.
Tatizo mradi wa ARV ni mkubwa na una faida kubwa mno kwa wahusika kuweza kukubali kirahisi kuponya malighafi yao ambayo ni wahanga wa HIV wanaotumia ARV.
Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV.
Nitajie ugonjwa mmoja wa virus wenye dawaInasadikika kuwa dawa ilishatengenezwa kitambo.
Tatizo mradi wa ARV ni mkubwa na una faida kubwa mno kwa wahusika kuweza kukubali kirahisi kuponya malighafi yao ambayo ni wahanga wa HIV wanaotumia ARV.
Kila ukipiga kavu kumbuka unaingia rasmi kwenye takwimu ya kutajirisha wenye mradi wa ARV.
Wee jamaa ni genius pia..ππππππππKwa hiyo dawa za HIV haziwezi kuuzwa kwa faida?
Yaani wewe ukigundua dawa ya HIV utaacha kuuza sababu kuna ARV sokoni?
huwezi nielewa kwa sasa na pia huwezi kupata ABC za ilo jamboDawa ipo imetibu nani ..?
Mbona unakimbia kimbia swali
Dawa zipo hata hapa Tanzania na watu wanapona.Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?
Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti.
Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari.
1. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2. Pima afya ili kujua hali yako
3. Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.
Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
Zipo dawa za kiswahili zinazotibu ukimwi na unapona kabisa.Ni kweli wameshindwa kabisa kugundua dawa ya kutibu Ugonjwa wa Ukimwi au wana maslahi na ugonjwa huu?
Kwa miaka mingi tangu ugonjwa huu ulipogundulika kumekuwa na taarifa nyingi zenye utata kuhusu tiba yake,
mara tiba yake inafanyiwa uchunguzi na majaribio lakini hadi leo bado ni kizungumkuti.
Nb. Ugonjwa wenyewe ulivyotulia utadhani haupo, tuwe makini bandugu ukimwi ni hatari.
1. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
2. Pima afya ili kujua hali yako
3. Epuka ngono zembe
4.Tumia kinga kila unapojamiiana.
Sambaza upendo, usisambaze ukimwi, stay safe always.
ChaiKuna dawa tayari aina mbili zimetengezwa na majaribio yanafanywa na nadhani ndani ya mwaka huu watakuwa na jawabu halisi
Tangazo hili .Dawa zipo hata hapa Tanzania na watu wanapona.
Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu alikuwa taabani anakula vidonge vya hospitali, akaambiwa kuna mtu Magomeni anaitwa Msigwa ana dawa yake kaitengeneza kutokana na miti shamba, muathirika akaona hana cha kupoteza aanze kuitumia, mwaka wa tano sasa yupo negative na kawacha uasherati kabisa. Na aliwacha siku nyingi sana kutumia madawa ya matumaini.