Hivi Walimu wa nchi hii tumemkosea nini Magufuli hata atutende hivi?

Tunatakiwa tunyooshwe weeeeee Hadi wore tuongee lugha moja
 
Uzi huu katika mahali hapa kiukweli hauleti taswira nzuri kwa pande zote. Kazi maalumu achilia kwamba ni nyeti lakini pia ni endelevu. Kuna mmomonyoko wa kima adili hasa ya utumishi katika umma nauona kwa mbali. Jambo hili liangaliwe kwa uzito stahiki hasa hasa kama mamlaka husika zinaliona hili.
 
Mkuu ukipeleka unakuwa noted...
Ukifika kituoni inafuata barua.. Ka ulikuwa kijijini panapofikiaka...sasa unatupwa chakaa ambako hata network hamna...
This field!!!!!??

Haya mambo kwanini msimwambia Rais magufuli, anapita kwenye mikutano ya hadhara, barabarani kwanini usitundike bango juu kujitoa mwanga tu ili ujumbe ufike
 
Pale mnapokuwa mnaombwa nae kumsaidia Kuiba Kura apite pamoja na Chama chake na Kulipwa huwa pia mnakuja Kumshukuru Mitandaoni au?
 
Kuna maeneo walimu wameamua kukimbia mazima baada tu ya uchaguzi maana wananchi hawataki kuwaona kwa jinsi walivosimamia uchaguzi. Mungu awatie nguvu warudi vituoni kwao
Wapi kwa mfano?
 
Mwambie alipe na arrears mishahara kwa waliopandishwa madaraja tangu 2018 April mosi. Hili linamuumiza Sana my wife.
Hili la likizo kwa kweli ni tatizo sugu mno! Kwanini asiruhusu mwalimu apewe mshahara mmoja yaani basic salary kwa akili ya likizo bila kujali idadi ya wategemezi atakaoambatana nao Kama wanavyofanyiwa wafanyakazi wengine wa mashirika ya umma kuliko kumkadiria kwa nauli za Sumatra?
 
Nyinyi ndio huwa mnashririkiana na maccm kusimamia zoezi la kupindua matokeo ya kura za wananchi. Acha muisome namba.
 
Angalia hata Zanzibar rais wao anawaita sekta ya afya anaongea nao manesi lakini huwezi kuona rais akiwaita kuongea na mialimu.
We jamaa hawa watu wamekufanya nn asee japo wanaupuuzi wao, ila ww unaonekana unachuk nao yawaz halaf umejipambanua kua uko wizara ya afya we utakuja kudunga mtu sindano yasumu wew
 
Kuna wengine hawana hata hiyo kazi
 
Huyu mtoa mada ni miongoni mwa walimu hovyo kabisa, yaani ameshindwa kuwasiliana na baraza huko analeta huku, hizi kazi maalumu zina usiri ndani yake na wanakula hadi viapo.
Naona hata wewe bado hujui umuhimu jamii forum , kama ungejua ungekaa kimya na hoja hii.
 
Mkuu tulitegemea hako ka laki nane tulipe ada ya watoto..

Hii ni hatari mnoo.. Unaweza jikuta unaolewA hivihivi..
Mlikua mnafanya kazi gani kwanza??
 
Mkuu subiria faini watakazotozwa wanunuzi waliosahau kuchukua risiti kutoka kwa muuzaji...

Kiufupi pesa hakuna,kwa hyo kunywa maji ili upunguze msongo wa mawazo.
 
Eti serikali ni sikivu muda wote.Watu wamelalamikia vitu vingi Kama ajira na watu kuchapwa VIBOKO, serikali sikivu muda wote iko wapi?Hivi nyinyi huwa mnafikiriaje?Kwa kutumia tumbo au?Au kwa vile mnanufaika na mfumo?
 
We jamaa hawa watu wamekufanya nn asee japo wanaupuuzi wao, ila ww unaonekana unachuk nao yawaz halaf umejipambanua kua uko wizara ya afya we utakuja kudunga mtu sindano yasumu wew
Hili suala la NECTA siungi mkono walimu kulileta humu JF.Ila kwa upande mwingine walimu ndio kikwazo cha maendeleo hapa nchini.Kwanza wengi wao waoga na elimu zao za kujua kufundisha mada za masomo tu.Nje ya hapo ni wajinga wa kutupwa.
 
Mtaingiziwa kwenye acc zenu msiwe na haraka kwani si mmeacha acc number zenu na mliambiwa mtalipwa sasa malalamiko ya nini?
Kuna wapuuZi wameizungusha hiyo hela.
Na watabainika si mda..
 
Hili suala la NECTA siungi mkono walimu kulileta humu JF.Ila kwa upande mwingine walimu ndio kikwazo cha maendeleo hapa nchini.Kwanza wengi wao waoga na elimu zao za kujua kufundisha mada za masomo tu.Nje ya hapo ni wajinga wa kutupwa.
Ulitaka tulipeleke wapi!??

Walimu wanadharaulika sana nchi hii...
ENOUGH...

WE HAVE HAD ENOUGH.
 
mkuu kua na subra, hela italipwa, TANZANIA ya Raisi wetu mpendwa jpm kila mtu atapata haki yake, nakuomba uvute subra, pia hapa sisehemu salama kuleta jambo kama hili hapo maana kazi hiyo ni siri kua mzalendo
Hawa ndio wasaliti wa viapo vyao. Kuna namna nzuri sana ya watu wa aina hiyo kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…