Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Eti utumie pesa aaaaa wakati usku ni kuokoteza tu bure bureAhahaha ndio mkuu..
Yaani raia bana wanatka sisi usiku kucha tupigwe baridi tuu ila kula vyaooo aaaaaah.... Hope urassa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti utumie pesa aaaaa wakati usku ni kuokoteza tu bure bureAhahaha ndio mkuu..
Yaani raia bana wanatka sisi usiku kucha tupigwe baridi tuu ila kula vyaooo aaaaaah.... Hope urassa
Unajua walinzi bana tunajua kujisosomola et wee acha tuuuEti utumie pesa aaaaa wakati usku ni kuokoteza tu bure bure
Au konda akitembea kwa mguuUmewaona mpishi wa hotel akashinda njaa
😂kuna sehemu sokoni nlipita asubuhi mama mmoja akawa analalamika kila siku anaibiwa Ndizi zake!Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Hili nalo neno, akukunguta ule mfuko anapata kilo moja saafi kabisaunashangazwa na hilo vipi ulishawahi kuona miliki wa mashine ya kusaga akisaga unga wake binafsi
We kweli kaka washetani unataka kuwaharibia watu ugali waoLeo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Wajanja kweli eti wanaweka Sheria kua lishe wanasaga jioni hapo asubui nafungua kileo kinu tayari kujichotea unga wa uji safi kabisa mchana nakula timing anakung'uta fuko na kujichotea sembeHili nalo neno, akukunguta ule mfuko anapata kilo moja saafi kabisa
Tunajadili tu mkuu pia ni njia moja ya kutoa stress tukiwa siliaz sana ma presha yatatuandama.😂Hii Ni nchi ya hovyo yaani mnawaonea wivu mpaka walinzi
Ilikuaje ukapita sokoni asubuhi mkuu😂kuna sehemu sokoni nlipita asubuhi mama mmoja akawa analalamika kila siku anaibiwa Ndizi zake!
""Sasa hiyo ni kwa walinzi wa sokoni twende kwa wale wa bank""Kuna kazi zingine unaweza kuidharau
Hebu fikiria jamaa hanunui nyanya, vitunguu, mafuta ya kupikia, mboga za majani, chumvi, matunda nk vitu ambavyo wengine ndio matumizi ya familia kwa asilimia kubwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii Ni nchi ya hovyo yaani mnawaonea wivu mpaka walinzi
Mkuu kama ulikuwep, umepita mulemule,Wajanja kweli eti wanaweka Sheria kua lishe wanasaga jioni hapo asubui nafungua kileo kinu tayari kujichotea unga wa uji safi kabisa mchana nakula timing anakung'uta fuko na kujichotea sembe