😂Hii Ni nchi ya hovyo yaani mnawaonea wivu mpaka walinzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Hii Ni nchi ya hovyo yaani mnawaonea wivu mpaka walinzi
Sasa assume mtu unaenda sokoni asubhi na jioni..
Mara mbili kwa siku wee unaona ni haki hiiki
Tupo nchi huru!Sasa assume mtu unaenda sokoni asubhi na jioni..
Mara mbili kwa siku wee unaona ni haki hii
Sipangii mtu ila hii inafikilisha sana mkuu...Tupo nchi huru!
Huwezi mpangia mtu kwenda sokoni
Ushasema mbagala😂Sipangii mtu ila hii inafikilisha sana mkuu...
Sijawahi kuona huku mbagala
Chief,,,Kila mtu anakula kazini kwakeLeo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Ahahahah daaah mkuu umeniandama kweli leo aiseeeUshasema mbagala😂
Unafikiri kote ndo hali iko ivyo??
Hapo kwenye spiritual nimekuelewa sana Mkuu! Pigeni kazi wadau!Kawaida sana mkuu...
Yaani kiufupi tunafaidi kingine wanakua wanatuamini maana sokoni kuna mambo ya kuchezeana sana hivo sio kwamba tunalinda physical tuu mpaka spiritually mkuu
Tunapiga kazi mno..Hapo kwenye spiritual nimekuelewa sana Mkuu! Pigeni kazi wadau!
Poleni kwa kazi kubwa!Tunapiga kazi mno..
Kiufupi tunapambana sana kuna mengi sokoni mkuu
Hawana tofauti na wapishi wa taasisi kubwa na makarani na wasimamizi wa masoko.Kusumbuliwa na njaa kwa hao jamaa wawe wamejitakia tu.Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Tafuta hela uachane na utaratibu wa kwenda sokoni.Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Ahahahah daah acha zako mkuuTafuta hela uachane na utaratibu wa kwenda sokoni.
Wanaona tunafaidiEbu acha nongwa khaaa
Wale nao wanafanyaje mkuuJe umewahi kwenda machijioni?wale wanao chuna ngombe!!
KAZI ni kipimo cha UTU