Hivi walinzi wa sokoni washawahi kununua vitu sokoni kweli?

Hivi walinzi wa sokoni washawahi kununua vitu sokoni kweli?

Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.

swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Jiulize wafanyakazi wa Tanesco au Dawasa wamekwisha wahi kununua umeme na maji?
 
Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.

swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Nilipomaliza tu kujibu natoka machinjioni mlangoni nikakutana na jamaa yangu mkaguzi wa nyama kabeba maini si akanipa pande moja la maini, moyo paa! Sikuamini kwani nilikuwa nasikia tu kuwa huwa anajichukulia.
 
Sasa ukitembea kwenye meza ishirini si tayari una tenga moja!
Nyie mbingu mtaisikia tu!
Hapana mbona na wenyewe wanajua kama tunafanya hiko kitendo japo hakuna change kubwa mana kinachofanyika pale ni slightly change ni ngumu sana ku detect kuna vitu ni uncountable ...

Mimi na akili yangu siwezi chukua kitu ambacho kitaleta mabadiliko pale sikoni
 
Hapana mbona na wenyewe wanajua kama tunafanya hiko kitendo japo hakuna change kubwa mana kinachofanyika pale ni slightly change ni ngumu sana ku detect kuna vitu ni uncountable ...

Mimi na akili yangu siwezi chukua kitu ambacho kitaleta mabadiliko pale sikoni
Huyu dogo kuna muda anakuja na ubuyu kilo nzima itakuwa anachukua sehemu hata kumi aisee
 
Back
Top Bottom