Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Hahahahaunashangazwa na hilo vipi ulishawahi kuona miliki wa mashine ya kusaga akisaga unga wake binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaunashangazwa na hilo vipi ulishawahi kuona miliki wa mashine ya kusaga akisaga unga wake binafsi
We Nyanya moja! Acha hizo weHatupigi ila tunachukua na wenyewe wanajua tunachofanya....
Nyanya moja haiwezi kufanya ufilisike mkuu ahaha
Nyanya moja mkuu.We Nyanya moja! Acha hizo we
Jiulize wafanyakazi wa Tanesco au Dawasa wamekwisha wahi kununua umeme na maji?Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Sasa ukitembea kwenye meza ishirini si tayari una tenga moja!Nyanya moja mkuu.
Unakuta nachukua nyanya moja moja kila meza
Nilipomaliza tu kujibu natoka machinjioni mlangoni nikakutana na jamaa yangu mkaguzi wa nyama kabeba maini si akanipa pande moja la maini, moyo paa! Sikuamini kwani nilikuwa nasikia tu kuwa huwa anajichukulia.Leo jioni nimepita sokoni kuchukua maitaji ya nyumbani nikafika soko moja kubwa lakini nikajiuliza jinsi biashara za sokoni zilivyo zipo wazi mfano matunda,mchele,viungo na n.k .wa wakati wa kufunga wanabakishwa walinzi kulinda soko ili wezi wasije kuiba mali za wanasoko.
swali la kujiuliza wao uwa wana nunua maitaji au ndo wanakuwa usiku kama wapo supermarket wakizunguka kujichukulia.
Hapana mbona na wenyewe wanajua kama tunafanya hiko kitendo japo hakuna change kubwa mana kinachofanyika pale ni slightly change ni ngumu sana ku detect kuna vitu ni uncountable ...Sasa ukitembea kwenye meza ishirini si tayari una tenga moja!
Nyie mbingu mtaisikia tu!
Huyu dogo kuna muda anakuja na ubuyu kilo nzima itakuwa anachukua sehemu hata kumi aiseeHapana mbona na wenyewe wanajua kama tunafanya hiko kitendo japo hakuna change kubwa mana kinachofanyika pale ni slightly change ni ngumu sana ku detect kuna vitu ni uncountable ...
Mimi na akili yangu siwezi chukua kitu ambacho kitaleta mabadiliko pale sikoni
Kawaida sana mkuu...Huyu dogo kuna muda anakuja na ubuyu kilo nzima itakuwa anachukua sehemu hata kumi aisee
SafiiAna haja gani ya kuiba.Watanzania wanaroho za kutu kiasi kwamba kumnyima mlinzi mahitaji madogo madogo ! Isitoshe sokoni kuna vitu lazima vitolewe bure la sivyo vitaoza.
Kila mtu anakula sehemu yake au siyo baharia 😄Kwa baridi wanalikumbana nalo acha wajilipe tu,
Mleta uzi Ana mind etiAna haja gani ya kuiba.Watanzania wanaroho za kutu kiasi kwamba kumnyima mlinzi mahitaji madogo madogo ! Isitoshe sokoni kuna vitu lazima vitolewe bure la sivyo vitaoza.
Endelea kukaza fuvu!Ishu hapa ni hii...
Mi miaka yangu yote hapa sokoni sijawahi ona watu wakija asubhi yaani wateja asubuhi hapana nakataa hii.
Mahitaji ya sokoni yanafuatwa jioni...
Asubuhi sokoni unakuja kufanya nini...,,
Kitu gani cha kununua asubhi sokoni mkuu
Sawa mkuuEndelea kukaza fuvu!
Unadhani kama ww huendi asubuhi wote hawaendi
Na utaona MengiSawa mkuu
Japo ndo mpya hii kwangu aisee
Sasa assume mtu unaenda sokoni asubhi na jioni..Na utaona Mengi