Hivi walinzi wa sokoni washawahi kununua vitu sokoni kweli?

😂kuna sehemu sokoni nlipita asubuhi mama mmoja akawa analalamika kila siku anaibiwa Ndizi zake!
 
We kweli kaka washetani unataka kuwaharibia watu ugali wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…