Hivi walinzi wa sokoni washawahi kununua vitu sokoni kweli?

Chief,,,Kila mtu anakula kazini kwake
 
Hawana tofauti na wapishi wa taasisi kubwa na makarani na wasimamizi wa masoko.Kusumbuliwa na njaa kwa hao jamaa wawe wamejitakia tu.
 
Tafuta hela uachane na utaratibu wa kwenda sokoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…