Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Hivi walioanzisha utaratibu wa mwanamke kulipiwa mahari walikuwa na sababu gani za msingi?

Ni sababu za kitumwa, kijima na ubinafsi.

Mahari ni Pesa ya kumnunua Mwanamke ili ummiliki Kwa jina la MKE.

Ni mfume dume hasi(katili) ambao umefanywa Kwa lengo la kumkandamiza Mwanamke.

Mwanamke yeyote mwenye Akili timamu, huru, hawezi kukubali kutolewa Mahari.

Na Mwanaume yeyote huru, timamu, hawezi kumnunua Mwanamke anayempenda ili awe Mkewe.

Watibeli hatufanyi hivyo na kamwe hatutakuja kufanya hayo.
Binti zetu hawatolewi Mahari wala Vijana wetu hawatoi Mahari.
Nimekupata mtibeli. Ila itakuwa kivumbi na jasho utamaduni huu kupigwa stop
 
Sio vijana wa kibongo ambao wanategemea mwanamke wa mwaka 47 afanane na wa 2000. Wakati wenyewe wakiendelea kubadilika jinsi dunia inavyo badilika
Vijana wenyewe wana badirika ila hawataki iwe kwa mwanamke. Mwanaume akiwa na michepuko sawa haina shida ila mwanaume moto unawaka
 
mi naona mahari ifutwe ili twende sawa na ile 50/50
Unasema tu hata wewe hiyo 50/50 hutaiweza. Mwanamke akijikomboa kiuchumi basi hiyo 50/50 ni rahisi sana kwake.

Na wanawake wengi wamejikomboa na wengine wana mawazo ya kujikomboa ni suala la muda tu.

Sasa wewe upangiwe zamu ya kuosha vyombo kelele utakazopiga nchi jirani watasikia
 
Upigwe stop mara ngapi?

Sheria za nchi hazina kitu kinaitwa Mahari.
Lakini haikatazi Watu kufanya hizo Mila zao ikiwa wanaona haziwadhuru.
Ila ni ngumu kwenye jamii zetu kuoana for free wajomba na mashangazi hawawezi elewa hiyo kitu lazima pachimbike mtibeli
 
Unasema tu hata wewe hiyo 50/50 hutaiweza. Mwanamke akijikomboa kiuchumi basi hiyo 50/50 ni rahisi sana kwake.

Na wanawake wengi wamejikomboa na wengine wana mawazo ya kujikomboa ni suala la muda tu.

Sasa wewe upangiwe zamu ya kuosha vyombo kelele utakazopiga nchi jirani watasikia
Zamu ya kutawadha watoto haaaah lazima kiwake 50/50 ni ngumu kuwezekana
 
Ila ni ngumu kwenye jamii zetu kuoana for free wajomba na mashangazi hawawezi elewa hiyo kitu lazima pachimbike mtibeli

Wanawachimba ninyi mnaoendekeza ujingaujinga na mawazo yasiyo na kichwa na miguu. Sijui laana, sijui baraka, sijui radhi, blah! Blah! Blah! Tuu.

Waambie huwaoi wao, kama mtoto wao anataka kutolewa Mahari na wewe hautaki muache, kwani ni lazima umuoe yeye au aolewe na wewe..
 
Ni sababu za kitumwa, kijima na ubinafsi.

Mahari ni Pesa ya kumnunua Mwanamke ili ummiliki Kwa jina la MKE.

Ni mfume dume hasi(katili) ambao umefanywa Kwa lengo la kumkandamiza Mwanamke.

Mwanamke yeyote mwenye Akili timamu, huru, hawezi kukubali kutolewa Mahari.

Na Mwanaume yeyote huru, timamu, hawezi kumnunua Mwanamke anayempenda ili awe Mkewe.

Watibeli hatufanyi hivyo na kamwe hatutakuja kufanya hayo.
Binti zetu hawatolewi Mahari wala Vijana wetu hawatoi Mahari.
mamako aliolewa kwanjia Gani ndugu mtibeli
 
Utaratibu ambao vijana wa sasa mnatakiwa muufute ni wa michango ya harusi.
Mahari ni kama token ya appreciation kwa wazazi kwa kumtunza na kumkuza binti yao halafu huwa hata haimalizwi kama huna unatoa kiasi tu.
Mahari sioni shida yake sababu utazaliwa watoto, watabeba jina lako, watatunzwa, mke atakuhudumia n.k. na pia ni kama inarasimisha nafasi ya mwanaume katika familia sababu anayeolewa ndo analipiwa mahari.
 
Back
Top Bottom