Martyr 360
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 433
- 660
- Thread starter
- #21
Ukimuomba mtu mtoke pamoja akikataa kakukataa Tu,JE anakukataaje na baada ya apo mausino yanakuwaje au ndo akikuona Hana Raha.Kumbe bado kuna watu wanatongoza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimuomba mtu mtoke pamoja akikataa kakukataa Tu,JE anakukataaje na baada ya apo mausino yanakuwaje au ndo akikuona Hana Raha.Kumbe bado kuna watu wanatongoza?
Anaweza kukataa Tu lakin baada ya apo anakataa aje? Nazan katika umri ulionao uwezi kunimbia kwamba wanawake wote uliotongoza wamekubali, JE wanaokataa bado mnaendelea kuwa na ushirikiano kama MWAnzo na kakukataaje?Hujui timing, huwezi kumwalika mtu mtoke out bila kujihakikishia kuwa ana utayari.
Jenga mazingira na uhakikishe tayari yupo relini mwako...kazi yako wewe ni kumalizia kitu kidogo sana.
Huwezi kukata mti shoka mbili tatu halafu unaanza kuusukuma eti udondoke...
Piga shoka za kutosha, kuna shoka ya mwisho hii hutumika kuuelekeza mti pa kuangukia...
ERoni
Extrovert
Mshana Jr
Hawa ma legenti watakusaidia😂😂😂
Ukiona hali hiyo inatokea ujue umemkera.Ukimuomba mtu mtoke pamoja akikataa kakukataa Tu,JE anakukataaje na baada ya apo mausino yanakuwaje au ndo akikuona Hana Raha.
Kijana.Anaweza kukataa Tu lakin baada ya apo anakataa aje? Nazan katika umri ulionao uwezi kunimbia kwamba wanawake wote uliotongoza wamekubali, JE wanaokata bado mnaendelea kuwa na ushirikiano kama MWAnzo na kakukaaje?
Kwasababu yeyote Ile atakayokukataa nayo ,je bhado mtaendelea kushirikiana kama zamani au ndo hata kama mko nyumba moja hata seblen hakai tenaUkiona hali hiyo inatokea ujue umemkera.
Kuna namna ukimtongoza mwanamke hujenga chuki kwa kuona umemdharau.
Kila mwanamke ana namna yake ya kumtokea, ukifanya vinginevyo unamkosa.
1. Kuna wanawake pesa kwao ni kanuni namba 1, ukimpa au ukaonyesha dalili za pesa hapo kwake amelowana.
2. Kuna hawa hujifanya wagumu kwanza lkn deep down yuko tayari anataka umuonyeshe kweli uko siriazi unamta atakusumbua kwa muda lkn sio kuwa hakutaki bali angalau ajiridhishe.
3. Kuna wanawake flani nao ukitanguliza pesa huona umemshusha thamani huyu anaweza kukubonda kwa maneno makali sana kuwa kitendo hicho umemshusha thamani...sio kwamba hawapendi pesa au hawataki...no, wana namna yao ya kuwa aprochi...ukimuwezea huwa wana mahusiano matamu sana.
Hitimisho:
Kabla hujaanza blablaa zako za mtongozo hakikisha umeshamjua unayemtaka ni mtu aina gani kati ya hao watatu.
Note: wanawake wote duniani wanapenda pesa lakini wanatofautiana namna ya kutaka kupewa hizo pesa.
Yes, ikitokea mtego umegoma why msiendelee?Kwasababu yeyote Ile atakayokukataa nayo ,je bhado mtaendelea kushirikiana kama zamani au ndo hata kama mko nyumba moja hata seblen hakai tena
Kwani Joannah anasemaje yeye?Ukiona hali hiyo inatokea ujue umemkera.
Kuna namna ukimtongoza mwanamke hujenga chuki kwa kuona umemdharau.
Kila mwanamke ana namna yake ya kumtokea, ukifanya vinginevyo unamkosa.
1. Kuna wanawake pesa kwao ni kanuni namba 1, ukimpa au ukaonyesha dalili za pesa hapo kwake amelowana.
2. Kuna hawa hujifanya wagumu kwanza lkn deep down yuko tayari anataka umuonyeshe kweli uko siriazi unamtaka atakusumbua kwa muda lkn sio kuwa hakutaki bali angalau ajiridhishe.
3. Kuna wanawake flani nao ukitanguliza pesa huona umemshusha thamani huyu anaweza kukubonda kwa maneno makali sana kuwa kitendo hicho umemshusha thamani...sio kwamba hawapendi pesa au hawataki...no, wana namna yao ya kuwa aprochi...ukimuwezea huwa wana mahusiano matamu sana.
Hitimisho:
Kabla hujaanza blablaa zako za mtongozo hakikisha umeshamjua unayemtaka ni mtu aina gani kati ya hao watatu.
Note: wanawake wote duniani wanapenda pesa lakini wanatofautiana namna ya kutaka kupewa hizo pesa.
Nawaita hapa watupe somo wenyewe: Hannah Joanah To yeye Amehlo
Nourhan Kapeace ephen_
Kuna baadhi ya mambo yanafanya KAZI kiukweli lakin siyo 100% na kwahiyo tutegemee kukataliwa kwenye mazingira flani na ndipo tunapokuja jinsi ya kukataliwa ndo inakeraUkiona hali hiyo inatokea ujue umemkera.
Kuna namna ukimtongoza mwanamke hujenga chuki kwa kuona umemdharau.
Kila mwanamke ana namna yake ya kumtokea, ukifanya vinginevyo unamkosa.
1. Kuna wanawake pesa kwao ni kanuni namba 1, ukimpa au ukaonyesha dalili za pesa hapo kwake amelowana.
2. Kuna hawa hujifanya wagumu kwanza lkn deep down yuko tayari anataka umuonyeshe kweli uko siriazi unamtaka atakusumbua kwa muda lkn sio kuwa hakutaki bali angalau ajiridhishe.
3. Kuna wanawake flani nao ukitanguliza pesa huona umemshusha thamani huyu anaweza kukubonda kwa maneno makali sana kuwa kitendo hicho umemshusha thamani...sio kwamba hawapendi pesa au hawataki...no, wana namna yao ya kuwa aprochi...ukimuwezea huwa wana mahusiano matamu sana.
Hitimisho:
Kabla hujaanza blablaa zako za mtongozo hakikisha umeshamjua unayemtaka ni mtu aina gani kati ya hao watatu.
Note: wanawake wote duniani wanapenda pesa lakini wanatofautiana namna ya kutaka kupewa hizo pesa.
Nawaita hapa watupe somo wenyewe: Hannah Joanah To yeye Amehlo
Nourhan Kapeace ephen_
We unatengeneza mazingira anayakataa hayo mazingira tena harshly (vibaya),na saa nyingine mtu umempenda na hakuna uwo muda wote WA kutengenza hayo mazingiraKijana.
HIi ni kweli, sikumbuki ni lini nilitongoza.
Sina kawaida ya kutongoza kabisa bali nikimtaka mtu huwa najenga mazingira....kuna wakati mhusika mwenyewe unafika wakati hawezi kuvumilia anakutaka kwa akili tu.
Mimi namalizia
Umekubali mkuu?😁😁Muulize si mkeo?😂😂
Huyo demu achana nae Fanya maisha yko mkuu,Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.
Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja ,mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya , mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .
Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya
Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonyesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume NI mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti
Labda NI waambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye ,utaonyesha upekee WA Hali ya juu ,utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati NI Jambo linaloepukika NI upumbavu
Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba NI mbaya au siyo handsome
Hapana, NI kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe , kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.
Wewe una fujo.We unatengeneza mazingira anayakataa hayo mazingira tena harshly (vibaya),na saa nyingine mtu umempenda na hakuna uwo muda wote WA kutengenza hayo mazingira
Ana wivu,Huoni hataki kujibu Hilo swali 🤣🤣Umekubali mkuu?😁😁
Anakataa urafiki tena anakataa vibaya kwann akataye vibaya?Wewe una fujo.
Pili unataka ulitakalo liwe.
Mwanamke mliyetengeneza urafiki hawezi kukufanyia hivyo.
Wanawake ni wema sana ukiwa mwema kwao.
Jichunguze
Ulichokosea au mnachokosea watu wa aina yako ni kutongoza moja kwa moja mwanamke.Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.
Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja ,mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya , mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .
Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya
Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonyesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume NI mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti
Labda NI waambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye ,utaonyesha upekee WA Hali ya juu ,utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati NI Jambo linaloepukika NI upumbavu
Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba NI mbaya au siyo handsome
Hapana, NI kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe , kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.
Usiwe kilaza kwa kiwango hichoAnakataa urafiki tena anakataa vibaya kwann akataye vibaya?
Hakupendi hakupendi tuh,namna yake ya kukataaa ndo keroUlichokosea au mnachokosea watu wa aina yako ni kutongoza moja kwa moja mwanamke.
Kama mwanamke uko nae karibu kama ulivyosema yaani kazini,Kanisani nk, unachotakiwa kuanza kufanya ni kuwa karibu nae na kumuonyesha kwamba unamjali na hii itasaidia kuanza kuibua hisia kati yenu.
Huyo wa kutongoza moja kwa moja labda uwe umekutana nae barabarani na kwa mazingira hayo kupata majibu ya jeuri ni asilimia 90.