Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kitulize na wewe, hujambo ex?😂Ana wivu,Huoni hataki kujibu Hilo swali 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitulize na wewe, hujambo ex?😂Ana wivu,Huoni hataki kujibu Hilo swali 🤣🤣
Mzee,Kitulize na wewe, hujambo ex?😂
Sijambo dear x...nimeona nondo zako hapo juu,hakika unastahili tuzo za nobel,umekwiva😁😁😁Kitulize na wewe, hujambo ex?😂
Aaaah Sasa Bora nipambanie Huba langu atanisamehe niendelee nae,kumbe unataka kulipiza tu😏😏😏Mzee,
Kwani si tulikubaliana?😁😁 hata hivyo nalipiza tu ulishawahi nifanyia unyama 😁😁😁
Yuda Eskariot hujambo🕵️🕵️🕵️Wanawake wagomvi typing………..
Walimu wa kiswahili typing…………..
Tafuta pesa typing…………..
Achana naye usimbembeleze typing……….
Wakal wa hiz kaz hatutongozag... Huhitaj kumwambia mwanamke maneno meng.Mimi naamini mwanamke anaweza kukukataa kabisa na mkaendelea kushirikiana tena bila changamoto yeyote.
Fikiria mko ofisi moja ,mnafanya biashara pamoja,mnasali pamoja ,mnasoma pamoja n.k.mtu kakutongoza afu unamkataa kama Pepo au unamjibu vibaya , mwanaume unakuta Hanashida kashapotezea lakin unakuta mwanamke Hana Amani kabisa anaishi kama kunakaugomvi flani .
Mimi siamini kwamba eti kumtaa mtu vibaya kunaonyesha msisitizo ya kwamba hutaki,ziko njia nyingi za kumuonyesha mwanaume msisitizo kwamba humuitaji lakin siyo majibu mabaya
Na hatakama unamzarau mwanaume kiasi gani au humpendi kiasi gani au unaona Hana adhi yakuwa na wewe. Umetongozwa hutaki usitumie kama njia ya kumuonyesha jinsi gani unavyomzarau kataa Kwa hekima, mwanaume NI mtu Haya ni maisha huwezijua kesho. kunawatu Wana visasi unaezamchukulia simple ukatoka na mauti
Labda NI waambie wanawake kumkataa mwanaume bila kugombana naye na ukaendelea kushirikiana naye ,utaonyesha upekee WA Hali ya juu ,utaonyesha ni mwanamke jasiri usiyeyumbishwa. Mwanaume anaeshimu Sana maamuzi unayochukua unapotongozwa, mambo ya kugombana na mtu wakati NI Jambo linaloepukika NI upumbavu
Wanawake wekeni akilini kuwa kumkataa mtu Haina maana ya kwamba NI mbaya au siyo handsome
Hapana, NI kwamba hamwendani Tu na ndo maana wewe ukimkataa utakuta kesho Yuko na mwingine saa nyingine mzuri kuliko wewe , kinachomaanisha kwamba mlikuwa hamwendani.
Huwa hatulazimishi mambo kabisa tukimtaka mdada akikata tunaridhika na tunaendelea na maisha yetu ,tatizo mwanamke akiona umeridhika na unaendelea na mambo yako anakukasikia tena zaidi (infact we are dealing with something else inside girl's brain what we don't know)Huyo demu achana nae Fanya maisha yko mkuu,
😂😂😂 Sisy me sister Mary huo uyuda nimeanza lini tena?Yuda Eskariot hujambo🕵️🕵️🕵️
Tusifanyiane hivyo darling, utanimaliza😭😭Aaaah Sasa Bora nipambanie Huba langu atanisamehe niendelee nae,kumbe unataka kulipiza tu😏😏😏
Mkuuu huwa hatulazimishi mambo kabisa tukimtaka mdada akikata tunaridhika na tunaendelea na maisha yetu tatizo mwanamke akiona umeridhika na unaendelea na mambo yako anakukasikia tena ndo anakuchukia kabisa (In fact we are dealing with something else inside girl's brain what we don't know)Huyo demu achana nae Fanya maisha yko mkuu,
Hizo nondo zinasemaje x?Sijambo dear x...nimeona nondo zako hapo juu,hakika unastahili tuzo za nobel,umekwiva😁😁😁
Kataa ndoa typing ...........Wanawake wagomvi typing………..
Walimu wa kiswahili typing…………..
Tafuta pesa typing…………..
Achana naye usimbembeleze typing……….
Wewe ni mshirika wangu katika uharibifu lakini salama😂😂Mzee,
Kwani si tulikubaliana?😁😁 hata hivyo nalipiza tu ulishawahi nifanyia unyama 😁😁😁
Huenda ninaharibu huwezijua JoUmekuwa Ngariba Leo,unawafunda vijana🤣
Umekuwa Ngariba Leo,unawafunda vijana🤣Hizo nondo zinasemaje x?
Umekanyaga katiba,mi nilijua umezeeka kumbe Mzee wa hovyo...ngoja kwanza nione kama ex bado kakaza,si unajua Kuna moyo wangu niliuacha kwake🤦Tusifanyiane hivyo darling, utanimaliza😭😭
Hamna mi Nakuamini EX wangu wakisikiliza ushauri wakautumia vyema mambo ya kukataliwa yatabaki historia kwao😁Huenda ninaharibu huwezijua Jo
Tusifanyiane hivi dear sweetheart 😭Umekanyaga katiba,mi nilijua umezeeka kumbe Mzee wa hovyo...ngoja kwanza nione kama ex bado kakaza,si unajua Kuna moyo wangu niliuacha kwake🤦
Si nasikia wewe ndio umenifanya kampeni za chinichini niachike😁😂😂😂 Sisy me sister Mary huo uyuda nimeanza lini tena?