Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Ila sii nasikia kwenye kikao nilicho kosa kuwa hawa walimu ndio wazuri kwa kuwaoa na wanajua kulea familiaTo yeye ndo kabisaaa hakunaga mwalimu anasema ana hela!
Simu kali S9 + [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida tupu🙄Mnazopata mwisho wa mwezi
Itakuwa ni miaka hiyo. Iko hotHapo ngoja kwanza ncheke [emoji28]
Pesa zetu n za akiba n kusaidia ndugu zetu
Mkuu huwa nasikia tu kwa watu aya mambo kumbe yapo kweli, namshukuru mungu nimepata mke ambae sio mbinafsi ananisaidia kipindi nakuwa niko juu ya maweSana tena sana!
Mkuu mapenzi ayo ukute mwamba kamkubali sana manzi akeDah jamaa nae boya kweli. Unaanzaje kuishi na mwanamke wa dizain hiyo.
Ungemwambia pesa akachukue kwa wazazi wake, mimi ningemjibu shit asingeamini huwa sipendi ujingaSiku moja nipo site napiga mishe sasa nilikuwa kweny ICD fulani nakagua container bahati mbaya simu yangu kali Samsung S9 plus ilidondoka jamaa wa forklift hajaiona akakanyanga ila aliniomba excuse sana mpaka nikaona poa kwa kweli haifai kabisa nikatoa line kibaha kariakoo nikachukua kiswadu cha bontel elfu 20 fasta niwasiliane na mteja
Yani wanawake wabinafsi vibaya Sana ila wenye kumpata ambaye anasaidia home wamebahati SanaWanawake ni wabinafsi, wanaishi nasi kwa mfumo wa CHANGU changu na CHAKO changu.
Pesa yake ni kwaajili ya kusaidia ndugu na jamaa zake tu ili wampongeze na kumsifu tu. Huku mwanaume ukipigika kuendesha familia.
Ndio maana sikuhizi wanawake wanamiliki pesa ndefu kuliko wanaume. Kwasababu pesa zao wanazihifadhi wakati za mwanaume zinatumika kwenye familia.