Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Sisi ni kama yameshakuwa maisha yetu ya kawaida kwa miaka nenda rudi (more than ten years huko) ikifika mwisho wa mwezi wote tunaeka hela mezani kisha tunapanga matumizi.

Maisha yanaenda vizuri kabisa na hii imesaidia tumefanya mengi pia.
One in a million
 
Wanawake ni viumbe wabinfasi zaidi kwenye Dunia, Na chaajabu kuliko hilo ni kuwa hizo pesa zao hayo matumizi yake dah
 
Aisee....kweli wacha tuu tuwe na michepuko



Na ndio sababu mojawapo ambayo wake wengine wanayo on their minds kwamba wasiopowakamua hela mpaka tone la mwisho hela mtaenda kuzimaliza kwa michepuko,

Kwa hiyo wanaona afadhali wakakamue mtimize majukumu ya familia ili kama ikibidi michepuko mkawale bure kama watawaelewa.
 
Wengi wanamalizia kuchangia vitu vya ajabu ajabu kama birthdays na hapo bado zawadi,kununua nguo bei kubwa, showoffs za kijinga,vijisherehe visivyoeleweka



Na michango ya makanisani kama yote Kwa sifa kedekede.

Kwanza wangejua Mungu anapenda usiri katika kumtolea wangekuwa wanajianika Whasssap vile!
 
Na ndio sababu mojawapo ambayo wake wengine wanayo on their minds kwamba wasiopowakamua hela mpaka tone la mwisho hela mtaenda kuzimaliza kwa michepuko,

Kwa hiyo wanaona afadhali wakakamue mtimize majukumu ya familia ili kama ikibidi michepuko mkawale bure kama watawaelewa.
Hamna lolote ubinafsi tuu. Sasa kwani mie nikienda kuspend na mchepuko na yeye nyumbani ana hudumiwa kila kitu inamuuma nini? Kwani mchepuko anaondoka na utamu wa de libolo? Uchoyo tuu umewajaa
 
Wengi wanamalizia kuchangia vitu vya ajabu ajabu kama birthdays na hapo bado zawadi,kununua nguo bei kubwa, showoffs za kijinga,vijisherehe visivyoeleweka



Halafu ukiwakuta kwenye mob psychology hawaambiliki nakwambia!

Mtu anachanga hela nyingi mpaka unastuka [emoji15] [emoji15][emoji15]

Ladies are very weak katika kudanganyika kirahisi.

Na hawaambiliki nakwambia Yani!

Eti vikundi sijui nini mara wamesutana mara wamepigwa na mjanja Yani ilimradi wajinga ndio waliwao.
 
Wanawake sie ni wabinafsi sana... Kupata mwanamke mwenye utu na utulivu ni Kazi sana



Hata wakiwapata wanaishia kuwatenda mambo ya hiyana Kwa hiyo bora wanyooshwe tu hivyo hivyo kimakandamkanda.

Wao si wanahela za kuhonga michepuko?’!

Sasa wawajibike full kwa familia zao both recurrent and capital development projects za familia.
 
Watasema tuwapumzishe[emoji28][emoji23] mada zimekuwa nyng sana.
Kabisa!!! [emoji1787][emoji23][emoji23]!! na kuna hii
 
Sio sahihi

Kutompenda mume kunachangia

Ukimpenda mwenzio unavyokuwa na kiherehere
Unaweza sema kbs leo nmevunja kikoba na nna sh xx



Kabisa hata ATM card unampa na password.

Sema sasa sijui huwa inakuwaje bana ukikuta mke anaejitoa kiuchumi kwa familia na mumewe hivyo utakuta mume mwenyewe hathamini ule mchango wa mke,
Yani sijui ana -take for granted?! [emoji848][emoji848]

Hajui kuwa wanaume wenzie kwenye ndoa wanakosa huo ushirikiano?!

Halafu sasa wanasahau kuwa ukila na kipofu usimguse mkono,

Mwanamke anayejitoa hivyo siku akijua kuwa umekuwa ukim-disappoint na kumpotezea muda akisema enough is enough, no more turning back [emoji123]
 
Kuna jamaa yangu ni mtumishi na mkewe pia ni mtumishi. Jamaa analipwa 900k na mkewe analipwa 1.3m ila sasa kodi ya nyumba, bili za umeme na maji analipa mwanaume, na bado ujenzi wa nyumba ni mwanaume apambane, ada ya shule ni mwanaume.

Hivi majuzi imebidi mwanaume amlipie vikoba mwanamke maana alikuwa anadaiwa na watu washatimba home kubeba vyao. Chanzo cha ugomvi kikaanza baada ya jamaa kumnyima mwanamke hela ya saloon kwa kuhoji wewe hela zako unapelekaga wapi?

Navyozungumza kesi ipo dawatini na ndoa ina ning'inia. Wanawake mmezidi badilikeni jueni saivi maisha ni 50/50 sio kuwa mzigo kama panya nyumbani huna faida kazi kuharibu tuu!
Duh!!
Mnataka hadi pesa zetu?[emoji15]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hamna lolote ubinafsi tuu. Sasa kwani mie nikienda kuspend na mchepuko na yeye nyumbani ana hudumiwa kila kitu inamuuma nini? Kwani mchepuko anaondoka na utamu wa de libolo? Uchoyo tuu umewajaa


Mchepuko waleni bure kama wana wapenda kiukweli vinginevyo ni wizi mtupu!
 
Mchepuko waleni bure kama wana wapenda kiukweli vinginevyo ni wizi mtupu!
Sasa hii point gani unaongea na wewe. Huyo mke mwenyewe simli bure. Mpaka nimefanikiwa kumuweka ndani nimelipa mahari na nisipo muhidumia mbususu sipewi.

Hamna mwanamke anayependa bwana. Wanawake wanaangalia wapi penye unafuu wa maisha. Wanawake waacha uchoyo, kama wee unahudumiwa kwa nini usitake na mwanamke mwenzio ahudumiwi pia
 
Sasa hii point gani unaongea na wewe. Huyo mke mwenyewe simli bure. Mpaka nimefanikiwa kumuweka ndani nimelipa mahari na nisipo muhidumia mbususu sipewi.

Hamna mwanamke anayependa bwana. Wanawake wanaangalia wapi penye unafuu wa maisha. Wanawake waacha uchoyo, kama wee unahudumiwa kwa nini usitake na mwanamke mwenzio ahudumiwi pia



Haiko hivyo kirahisi!

Tunapaswa kujifunza na kujua kanuni za mahusiano ya kimapenzi.
 
Back
Top Bottom