Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Watu wameshavuka huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni zamani na imepitwa na wakati
Hakuna mambo ya zamani na ya sasa, mambo yanafanywa yanachokwa, yanafanywa mengine yanachokwa pia, then linarudiwa kufanywa lilelile la mwanzo.

Hilo la kuweka damu ya period kweny chakula ili mungu akupende limefanywa kwa miaka mingi sana na bado wanawake wanafanya.
 
Tena haya nimadogo majuzi kati walichonifanyia nikakaa chini uchi . Yaani kuharibu waliharibu fulu nimaibilisi.
Kina huyu dada anachukia nikipata mtu na anachukia nikiwa na afya njema
Una ugomvii nae?ila wanawake ampendani.
 
Yaani hujui kuandika kabisa, hueleweki
 
Humu duniani hakuna uchawi kwa kila mtu , bali uchawi upo kwa wanao amini huo ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…