Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hao hao ndio balaah wanaonifanyia hivyoo wanadegree zao ,wapo maofisini ni warembo na familia zao wameolewa kuzuri wale wakijijini na uswahilini sio kivile ni mdomo na ushirikina wao sio wa 10G
Hii ni kweli kabisa
 
Karibu maana akina Leejay49, Tayana Wog na Victoire wanachezea shilingi chooni, ila jipange mno kupambana na nguvu za Mungu "Jehovah".

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kama Yesu alifufuka basi wanapoteza Muda.
Iko damu Moja tu ,shida ni namna ya kuitumia!
Soma Ebrania 24 yote!

Najua haya mambo nimeyashuhudia nikiwa chuo,ila wanawake 🙌🙌
 
Duh!
Nimekumbuka stori ya jamaa wa jamaa wangu Kaka yake rafiki yangu. Alishawahi kuyakanyaga.

Jamaa alikubaliana pisi moja yenye tako kubwa, kukulana tu. Mapenzi ya kumega tu hakuna future yoyote. Pisi ikakubali, jamaa kampangishia na kumgharamikia kila kitu. Jamaa akawa sponsor. Jamaa akawa anaenjoooy tako kubwa kwa raha zake. Ghafla akaanza kuumwa, hospitali kubwa zote hakuna ugonjwa wowote. Kapimwa damu, choo, Ultrasound, CT scan na vifaa vyote, hakuna ugonjwa. Narudia tena hakuna ugonjwa. Mama yake huyo jamaa akampeleka jamaa kwenye maombi ya kufunga na kuomba kwa muda mrefu. Siku moja maombi yakiwa yanaendelea jamaa akaanguka na kutapika vitu visivyoeleweka vilivyofungwafungwa. Kuja kufatilia kumbe ile pisi yenye TAKO KUBWA ndio ilimroga kwa mganga wa majini. Rafiki zake Jamaa walimtight na kipigo heavy huyo mrembo ndio akafunguka kuwa alifanya hivyo ili apande toka kwenye mapenzi ya kuliwa tu, mpaka aolewe kabisa.

Halafu binti anaanza kujiliza anaomba msamaha.

Aisee hiyo pisi ni pisi kweli halafu anakasura kazuri, shepu nzuri mno narudia tena shepu nzuri mno, ana kasura hivi ka upole, halafu msomi, yaani huwezi kumdhania kuwa ataenda kwa mganga wa majini. Ni hatari mno.


Bora niendelee zangu na puli. 🤣
 
Mbu kala mbu apa kumbe umekua ilo ukigundulika ndoa huna
 
SI hamsikii mkiambiwa🤣
Mnafikiri wanaume wanao oa wanawake wa kawaida wajinga!

Halfau hakuna mwanamke Ambae Yuko tayari eti kuliwa tu,ni uongo!
.atakubali lkn atafanya Kila namna akukamate!

Haya ss,imagine huyo kaka mama Ake mzazi asingekua muombaji ingekuwaje?
SI mngeishia kuzika?
Ndo maana kwenye familia km mna ht mtu 1 anaewaombea mshukuru sana.🤣

Hata puli sio issue ni spirit/demon ziko nyuma ya hiko kitu madh ara hutayaona sshv

Cha mhimu mtegemee Mungu ,omba Mungu hutaingizwa kwenye hayo makitu
 
Sijaelewa kitu na nisielewe tu😂😂😂
 
Hapo anakuwa anahangaika na nini mkuu? Je, zoezi hilo linazaa matunda?
Anahangaikia mapenzi mkuu, anafanya hivo ili umpende, ni ushirikina tuu hauhitaji maelezo mengi.
Ni kama ile waswahili wanayosemaga "Limbwata"

Kwa issue ya Kuzaa matunda sijui kama inazaa matunda au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…