To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Nitakuumiza bure,siamini katika ndoa tenaCan I marry you please...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuumiza bure,siamini katika ndoa tenaCan I marry you please...?
Majukumu ya mwanaume ni yepiHatuwezi kujaribu kufanya hivyo kwasababu ndio maana Kuna mgawanyiko kati ya mwanamke na mwanaume .....
Na ndio maana mwanamke anakojoa huku amechuchumaaa, ili hali mwanaume anakojoa huku akiwa amesimama
Hiyo ndio inaleta utofauti. Zaidi ya hapo inakuwa ni kiburi tu Cha mwanamke kutaka kujilinganisha na mwanaume kitu ambacho kiuhalisia hakipo
Hivi angekuwa ni mwanamke ndio anafanya hayo madudu ungemuambia mume amuombee mbona nyie ndio mnaongoza kulalamikia madhaifu ya wanawakePole kwa yaliyokukuta lakini nakushauri ukitaka ndoa yako idumu na kama kweli unampenda mwenzio usiangalie madhaifu yake wewe timiza wajibu wako kama mke halafu endelea kumuomba Mungu ili aweze kumbadilisha mke wako kwa kumpa uelewa na kuwa na moyo wa kukusaidia mke wake. Uwe unamuomba Mungu kwa hilo na sio kukimbilia kulalamika
Tuambie kama ni wewe tuje tukupe mauwa yakoMwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike yaani akae jikoni apike ugali, afue uniform zake, mume aje wale walale.
Mume hana shughuli yoyote anajilimia zake bustani za mboga mboga lakini hashughuliki na chochote cha nyumbani, choo anachotumia hadi aje adeki mke, chumba anacholala achilia mbali nyumba kuipitisha fagio ni mwiko, nyasi zikiota bibie ajipinde mgongo alime?
Kama ni kweli usemayo itabidi nije mbeya kufanya utalii wa ndani je nakaribishwa?Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
Una mume?mimi binafsi ni mwanamke lakini tungeshindwana mapema sana yan ningechoka wiki tu mume angechagua either tusaidiane kaz za nyumban tuendelee na ndoa au aniache tu niondoke siwez kua mtumwa
Na wewe umekwishapatikana ? Karibu nikupe somo ambalo litakusaidia kuimarisha ndoa yakoMajukumu ya mwanaume ni yepi
Umenena vyema kabisa my sweetheart 😘Achana nao siri zingine za familia huwezi kuzijua
Karibu sana mkuuKama ni kweli usemayo itabidi nije mbeya kufanya utalii wa ndani je nakaribishwa?
We liweke hapa hilo somoNa wewe umekwishapatikana ? Karibu nikupe somo ambalo litakusaidia kuimarisha ndoa yako
Big house big cars business trip and so forth Sasa jitokeze misheni town uone utavyokemewa kama pepo[emoji1][emoji1][emoji1] Wanataka za kwenye video.
🤣🤣🤣Big house big cars business trip and so forth Sasa jitokeze misheni town uone utavyokemewa kama pepo
Kwani lazima utaje manesi na walimu😂😂😂Huo ni uongo labda walimu na manesi ila wengine hawawezi.
analipia mahari iliyotolewa.Mwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike yaani akae jikoni apike ugali, afue uniform zake, mume aje wale walale.
Mume hana shughuli yoyote anajilimia zake bustani za mboga mboga lakini hashughuliki na chochote cha nyumbani, choo anachotumia hadi aje adeki mke, chumba anacholala achilia mbali nyumba kuipitisha fagio ni mwiko, nyasi zikiota bibie ajipinde mgongo alime?
Hahaaaaaaa hadi wewe umekataa na umeona jamaa anatupiga Kamba kabisa.