MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
I pay for my Satisfaction, uridhike usiridhike hiyo ni juu yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So we unampenda mwenye niniUkikataliwa hujapendwa. Uwe na gari au hauna, upendo ni kitu cha tofauti sana. Ukipata mtu amekupenda kwa sababubya Toyota yako Alphard, basi jua hajakuoenda kalipenda gari lako. Akimpata mwenye Beemer jua ndio umeachwa hivyo
Sawa mkuuUkimpa pesa ataenda kutafta show pengine, ukimpa show ataenda kutafta pesa kwingine.
Jitahid uwe navyo vyote inaweza kusaidia.
Mwenye mapenzi ya dhati kwanguSo we unampenda mwenye nini
MuongoMwenye mapenzi ya dhati kwangu
Na unajuaje mtu ana mapenzi ya dhati kwakoMwenye mapenzi ya dhati kwangu
Halafu utachangia nn kwenye maisha ya mwanaume ?Vyote kwa pamoja
🤣 🤣 🤣 🤣Kwanza hayana hisia unalishika chuchu linakukodolea macho kama Mtungi
Huwa wanamwanaume wa show Kali mwanaume wa kuchunwa na mwanaume wa kuuzia nae suraJamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.
Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.
Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
Vipi mwonekanoUkimpa pesa ataenda kutafta show pengine, ukimpa show ataenda kutafta pesa kwingine.
Jitahid uwe navyo vyote inaweza kusaidia.
Muonekano bila pesa wala shoo utaitwa Marioo.Vipi mwonekano
Wengine wanahongwa na mademu kisa mwonekano tuMuonekano bila pesa wala shoo utaitwa Marioo.
Ndio marioo hao ndugu.Wengine wanahongwa na mademu kisa mwonekano tu