Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Jamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.
Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.
Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
wewe mpe hela kuhusu show kali anajua atapata kwa mwamedi the dragon

ila kwako anafuata mpunga tu kwa sababu anajua hta show yenyewe huwezi
 
Jamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.
Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.
Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
umekosa kazi ya kufanya? Mwanaume mzima unakuwa mpuuzi hivyo? Ndio maana wanawake wanawadharau, show kali ndiyo show ya aina gani. Wazungu wakiwaita nyani mnalalamika.
 
Nakuja, napita kwenye huo msitu wa mandevu, naupasua hadi nafika kwenye mwanya. Natoa simu yangu ya kitocho, naingia ndani ha hilo pango ambalo mlango wake ni hilo pengo mdomoni mwako, nasonga ndani hadi kwenye koromeo, nazama ndani kabisa hadi kwenye jugular vein, natiririka nayo hadi nafika moyoni mwako.
Natoa kanga yangu natandika chini, najilaza hapo daima nikuburudishwa na huba la pendo lako lililotamalaki
Njoo kwangu, huba limetamalaki...😋
 
Mleta mada una hasiraaa. Tafuta hela tafuta hela. Ukiwa na hela show inapanda Tu automatically. TAFUTA HELA UACHE KULIALIA.
 
Back
Top Bottom