Hivi wanawake wenye makalio makubwa mnajionaje?

Imefanya vzr San brzaa komesha kbsa
 
Sasa ndugu mtoa uzi! Alikukosea dada wa benki au tako lake? 😀Mbona Kama umepanic

Ukiona mpaka mloganzila wanachaji Mamilioni "kuwamodifai " walimbwende waliopigwa pasi nao WAPATE japo kidogo usithubutu KUBEZA

Note (Laini tu, magumu hayahusiki 😀😀)
 
Ungetaja tawi kabisa ili wadau tukatupe ndoano huenda chimbo liko wazi mkuu
 
Wanawake wenye makalio mlima mna shida sana aisee!
 
Hakuna wa weka picha wewe
Tulia na umbo lako offline😁😁
 
Umejiumbua kuwa hujastaarabika, katika jamii iliyostaarabika huwezi kumkoromea mwanamke kwa sauti hadharani.

Unampe vidongo kwa sauti ya upole lkn unampa vitu hadi ajione hafai.

Kubweka ni kwa watu wa hovyo.
Who is mwanamke....? Je ni punda kama punda wengine au ni kibwengo
 
Kwa hyo Kila mwanamke mwenye trako akisemwa na wewe umesemwa....na kulikuwa na haja gan kututambia hapa kwamba unalo?

Hivi ulipata usingizi kweli? Au ndio umelala ukiumia mimi kuwa na taaako[emoji23][emoji23].

Usijali. Acha nijipigie promo wateja ni wengi siwezi kuiba wakwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…