Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kwenye vikao vyenu huwa hamsikilizani.wanaume mafala kumbe bado wapo hvi hujagi kwenye vikao vya wanaume mbona ajenda zinasomwaga na zinaeleweka. kawaida ikiliwa na ww lazma ule kama drafti vile
😂 Kama nyeto ni bora zaidi mbaki huko huko msitusumbue.Tatizo linakuja kwamba unakumbuka nyeto baada ya kufanya muamala🤣🤣🤣🤣
Sawa bwana aliyeshiba hamnui mwenye njaaa, ulishapelekewa moto na jamaa yako, so mwepesiiii unachapa tuu keyboard.😂 Kama nyeto ni bora zaidi mbaki huko huko msitusumbue.
Pokea simu yake, itika salam yake. Kisha usiongee chochote msikilize anachoongea mpaka amalize bila kumkatiza wala kumgombeza. Baada ya hapo ya hapo mwambie anajua unachohitaji ni Ppch. Mwambie hakuna neno zaidi ya yeye kukuletea kwa gharama zake. Mengine yatafuata baada ya hapo.Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.
Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.
Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.
Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!
Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
Kutokana na hawa madem kuwa omba omba hadi kero nimeanza kuipenda show time na nimeanza kuizoea,naingia bar yenye madem wengi nachek kifaa nitakacho kipenda nachukua naenda kusugua kwa buku 5 tuHawa warembo wameshatufanya atm machine. Itabidi tuu tuhamie moja kwa moja kwa malaya.
🤣Sawa bwana aliyeshiba hamnui mwenye njaaa, ulishapelekewa moto na jamaa yako, so mwepesiiii unachapa tuu keyboard.
Mambo vipi lakini
Salam kabisa nipo nakuna mbupuz hapa🤣
Mambo poa sana, za j2??
Mweee....huwapati ng'ooo labda hayo maneno yaambatane na muamala🤣🤣🤣🤣Nilichojifunza ni kuwa ukitumia akili nyingi kumpata mwanamke humpati....kuwa wa hovyohovyo flani hivi ...ongea maneno ya ajabuajabu kama yale ya dogo langu mzabzab utawapata wengi sana.
Achana hiyo chuma ulete.Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.
Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.
Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.
Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!
Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
We mpotezee tu mwenyewe atajileta kwasababu hata kosa pesa kama iliyokuwa unampatia.Kwamba nikambembeleze ?
Unamdanganya..kuwa mpole na mtamu wa maneno ataingia king tu