Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

je akikwambia ....
"sawasawa waungwana nitafanya kazi!!" je hailet maana??

Fikiria Anaongea na nani kwanza mswahili Au mwingereza asiyejua??

Ok!! na neno sawa ni sawa kwa kiswahili tu! Km unaongea na mswahili mbona wagumu kuelewa nyie watu??
Hapo ni kujitesa tu akisema tu "sawa waungwana nitafania kazi" ndo kiswahili sahihi, hiyo sawasawa hapo inatuleta kwenye hii alama "="

Sasa chukulia niseme "= waungwana nitafanyia kazi" unaona inakuja kweli?

Hilo neno "sawasawa" halitakiwi kutumika kwenye sentensi kama hiyo.
 
Unless...otherwise inaeleweka japo sio sahihi kutumia haya maneno kwa mfuatano!

Lazma kuwe na maneno katikati yake ndio imake sense.
Mfano: Unless you were seriously sick, otherwise you would be responsible for the absence!
You're responsible for the absence unless otherwise you were seriously sick..grammatically kuna tofauti?

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 
Kama upo Tanzania wala huhitaji mtu atolee mfano maana karibia kila mtu anaongea hivyo, so assumption ni kwamba this is very common sikuona sababu ya kutolea mfano.
Hukuwa ukifahamu na wala sio hukuona sababu, kuonesha ni jinsi gani hukuwa ukifahamu just refer kwa tafsiri zako za maana ya maneno hayo huko juu.

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 
Hukuwa ukifahamu na wala sio hukuona sababu, kuonesha ni jinsi gani hukuwa ukifahamu just refer kwa tafsiri zako za maana ya maneno hayo huko juu.

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu. Ila nadhani na wewe ni wale wale wa unless otherwise kila sehemu maana sio kwa kushupaa huko.
 
Hakuna unachokinua, wewe ni uzao uleule wa wazungumzaji wabovu wa Lugha. Asante..siwezi kuendelea kulumbana na wewe. Nyie ndio badala ya "alikwenda" mnasema "alikwendaga" na mnadhani ni sahihi kuongeza "ga" "ge" na "gi" ni sahihi.

Kwa heri, hunitoshi kwenye uwanja wa Lugha!
Hehe..mtu hujui hata kuandika, punctuation inakushinda afu wazijua lugha, safari bado ndefu.

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 
Hapo ni kujitesa tu akisema tu "sawa waungwana nitafania kazi" ndo kiswahili sahihi, hiyo sawasawa hapo inatuleta kwenye hii alama "="

Sasa chukulia niseme "= waungwana nitafanyia kazi" unaona inakuja kweli?

Hilo neno "sawasawa" halitakiwi kutumika kwenye sentensi kama hiyo.
uongo hujui fasihi
 
Duh, kwa nini tunalazimisha lugha za watu wengine?
Hatulazimishi ila tunahitajiana.
sisi Waswahili siyo kisiwa!!!! lkn pia km huoni kuna haja ya kujua acha wewe na familia yako mbona mpo wengi tu kijijini huko hutakuwa peke yako. Kajiunge tu...

Kila la heri
 
Asikudanganye mtu mwana Jf twanga ki english tone yako. Ongea weeeee!! Mpka basi .....ziba masikio hkn wote hawajui.
 
Mimi sijakuelewa kabisa unless uanze kutunga wewe sentensi mbili tofauti otherwise utatuchanganya wengi humu ndani.
 
Hatulazimishi ila tunahitajiana.
sisi Waswahili siyo kisiwa!!!! lkn pia km huoni kuna haja ya kujua acha wewe na familia yako mbona mpo wengi tu kijijini huko hutakuwa peke yako. Kajiunge tu...

Kila la heri
Basi kama ukitaka kutumia lugha za wengine usiziharibu. Kilaza ni kilaza tu
 
Wewe ndio hujui. Unless otherwise... ni phrase sahihi ya kimombo




Ila kama ndio LY naweza elewa kwa sababu ni advanced phrase.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Google says:

IMG-20210717-WA0004.jpg
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
Au utaona wanatumia neno "Yes Of course" wakati hayapaswi kutumika kwa pamoja. Unaweza kutumia yes au ofcourse .
 
Wewe ndio hujui. Unless otherwise... ni phrase sahihi ya kimombo




Ila kama ndio LY naweza elewa kwa sababu ni advanced phrase.
Hujui kiingereza wewe. Tumia muda kujifunza kama unataka kuelewa
 
Back
Top Bottom