plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,394
- 1,434
Sawasawa ni "=" hiyo ni lugha ya hesabu mkuu, ina mahali pake.Na je akisema sawasawa itakupa maana !!!????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa ni "=" hiyo ni lugha ya hesabu mkuu, ina mahali pake.Na je akisema sawasawa itakupa maana !!!????
Hiyo = yako ina mahali pakeuongo hujui fasihi
Ok.Hpn mr mgonjwa!!
Najaribu kutoa ushauri mwanana tu kwa vijana wetu! Wasikate tamaaa wao watwange tu mpaka kieleweke
Yan wew maskin mwalim wa kiingereza unanifundisha mim..?hahahha.haya buanaMkuu kama hujui kiingereza soma tu comments unaweza kupata chochote.
Sasa wabongo ndio wanaitumia katika mifano niliyotoa. ...by the way mbona wewe ndio unaonekana kenge hapa maana nimekutolea hadi mifano in what context wabongo wanaboronga lakini bado huelewi.‘Unless’ na ‘otherwise’ yanatumika pamoja, ila si katika mifano uliyotoa. ‘You are all required to wear your uniforms, unless otherwise instructed’. Acha kuwa kama kenge kwa ujuaji maandazi, boya wewe
sawaHiyo = yako ina mahali pake
Inawezekana labda hujui Kiingereza vizuri mkuu? Usiwalaumu wenzako labda tatizo ni wewe ndiye hujui matumizi ya hayo maneno mawili kwa wakati mmoja!Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
For instance:
“Give me your laptop otherwise I will reveal your dirty secret”
“Give me your laptop unless otherwise I will reveal your dirty secret”
“Unless you bring my laptop I will not give you back your book”
“Unless otherwise you bring my laptop I will not give you back your book”
Nimeona nipandishe hii mifano ili nieleweke zaidi maana kuna watu humu wanatetea vitu viko wazi kabisa.
Hii ndiyo shida ya wengi, kutafsiri Kiingereza kwa vipande vipande kama ulivyofanya!Kwa tafsiri isiyo rasmi "Unless maana yake isipokuwa/la sivyo. Otherwise maana yake isipokuwa/la sivyo". Hivyo chagua neno mojawapo tu uteleze, utaelewaka zaidi badala ya kulazimisha kuyatumia yote kwa wakati mmoja.
Sawa mkuu ila nimeamini watu ni wagumu sana kuelewa. Mifano pia nimetoa ila bado tu hawaelewi.Mleta mada pole sana umekurupuka.
Utafiti muhimu kabla ya kuleta uzi.
Hii ndiyo shida ya wengi, kutafsiri Kiingereza kwa vipande vipande kama ulivyofanya!
Mkuu hata wewe umekuwa mgumu hivi kuelewa pamoja na hiyo mifano niliyotoa? Nadhani wewe ndio una shida ya kiingreza. Context uliyoitumia ipo sahihi kwa hayo maneno kuyatumia kwa kufuatana shida wabongo hawatumii kwenye context sahihi wao wanajua tu kusema unless otherwise popote pale angalia hata kwenye comments zao utaona hicho kitu unless na wewe kiingereza huki-feel kihivyo. Halafu acha kugoogle ndio ulete utetezi wako hapa maana karibia kila mtu anayebisha emeyaleta haya majibu uliyoyaleta wewe kitu ambacho kinaonyesha wote mnaenda google na kucopy na kupaste. Kwa kumalizia kuna ile to feel the language before you even speak it and I guess this is the reason why people do not know the correct use of these two words.Inawezekana labda hujui Kiingereza vizuri mkuu? Usiwalaumu wenzako labda tatizo ni wewe ndiye hujui matumizi ya hayo maneno mawili kwa wakati mmoja!
The phrase "unless otherwise" is usually used in giving instructions to make them more clear. You may smoke unless otherwise instructed. Unless otherwise instructed, please remain seated. Unless you are told otherwise, you may take photographs.
unless isipokuwa otherwise vinginevyoKwa tafsiri isiyo rasmi "Unless maana yake isipokuwa/la sivyo. Otherwise maana yake isipokuwa/la sivyo". Hivyo chagua neno mojawapo tu uteleze, utaelewaka zaidi badala ya kulazimisha kuyatumia yote kwa wakati mmoja.
Ndiyo maana wanakwambia ungefanya kwanza research kuona hayo maneno yanatumikaje. Hoja yako wewe ulitaka kuonesha kwamba hayo maneno hayatumiki pamoja. Ndiyo maana hata mimi nikawaambia labda kama hujui Kiingereza! Wanaoyatumia kwenye hizo sentensi zako za mfano hawajui Kiingereza kwa hiyo hupaswi kuwalaumu!!Mkuu hata wewe umekuwa mgumu hivi kuelewa pamoja na hiyo mifano niliyotoa? Nadhani wewe ndio una shida ya kiingreza. Context uliyoitumia ipo sahihi kwa hayo maneno kuyatumia kwa kufuatana shida wabongo hawatumii kwenye context sahihi wao wanajua tu kusema unless otherwise popote pale angalia hata kwenye comments zao utaona hicho kitu unless na wewe kiingereza huki-feel kihivyo. Halafu acha kugoogle ndio ulete utetezi wako hapa maana karibia kila mtu anayebisha emeyaleta haya majibu uliyoyaleta wewe kitu ambacho kinaonyesha wote mnaenda google na kucopy na kupaste. Kwa kumalizia kuna ile to feel the language before you even speak it and I guess this is the reason why people do not know the correct use of these two words.
au useme i have nothingSio kwamba watu hawajui...ni mazoea..cha msingi msikilizaji anaelewa nn kinamaanishwa...mbona tunachapia maneno mengi ktk kiswahili....mfano NILIMKUTA HAYUPO..!!
Kingereza chenyewe kina kanuni ya kwamba hasi na hasi haziendan
Mfano huwez kusema I DON'T HAVE NOTHING...unatakiwa useme I DON'T HAVE ANYTHING..sasa angalia ni wazungu wangapi wanakosea....cha msingi ni msikilizaji ameelewa au la!!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
unless isipokuwa otherwise vinginevyo
Sawa mkuu nadhani kwa mbali umenielewa. Hili ni tatizo la watanzania wengi mno hivyo sikuona sababu ya kuelezea in details nikiamini kwamba kila mtu anayeishi Tanzania na anayejua kiingereza analijua. Na kwa nyongeza tu huwa unawasikia watanzania wanavyotamka maneno haya "schedule na assume?" Schedule wanaitamka "shejo au shedo" assume wanaitamka "ashumu" hii inaonyesha ni jinsi gani huko shuleni wanafundishwa maana haiwezi kutokea kwa bahati mbaya tu kila mtu akawa anaongea kiingereza cha hivi.Ndiyo maana wanakwambia ungefanya kwanza research kuona hayo maneno yanatumikaje. Hoja yako wewe ulitaka kuonesha kwamba hayo maneno hayatumiki pamoja. Ndiyo maana hata mimi nikawaambia labda kama hujui Kiingereza! Wanaoyatumia kwenye hizo sentensi zako za mfano hawajui Kiingereza kwa hiyo hupaswi kuwalaumu!!