Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Hapa nimekuelewa kiongoziMbali na Hazara ambao ni mabaki ya Mongolians other ethnic groups are Tajikis na Uzbekis hawa pamoja na Pashtuns ndio wanaokaa Nchi ya Afghanistan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nimekuelewa kiongoziMbali na Hazara ambao ni mabaki ya Mongolians other ethnic groups are Tajikis na Uzbekis hawa pamoja na Pashtuns ndio wanaokaa Nchi ya Afghanistan.
Binadamu wanatembea..kama asili ya mwanadamu ni Africa lakin wapo kila pembe ya dunia, watashindwa kutoka India kwenda Pakistan?
Enzi za ayatollah ojolanwale sio waarabu huwa wanaandika na kuongea urdu language (uliwahi kusikia watu wanaitwa waqurdi?..
Hapana, hawaongei kiarabu.Ni waarabu coz wanaongea kiarabu
Unachekesha kweli dogo, usifananishe uchawi na imani......Hawa wabongo wapuuzi wanaofuga mandondocha, kuua maalbino na wakongwe ni wachawi au watu waliolaaniwa, na wale nduguzo wanaojilipua kwa kisingizio cha dini eti kwamba wanaenda mbinguni kupewa mabikra 72 ni mazwazwa au mazombie ya dini wasiojuwa ukweli na kuwa watumwa wa dini. Hizi dini zote Ukristo na Uislam zimejawa na mauwaji tu, hazina maana kwetu.Na wabongo wanaotoa kafara na kuuwa maalbino, wakongwe, baba anauwa mzazi, mzazi anauwa mtoto, waliouawa na watu wacojulikana n.k unawazungumziaje hawa?
Kuhusu uislamu, suala la kuuwa lina mipaka yake, mtu anauwa watu waco na hatia hiyo ni nafsi yake na co uisilamu ulivyo amrisha.
Unachekesha kweli dogo, usifananishe uchawi na imani......Hawa wabongo wapuuzi wanaofuga mandondocha, kuua maalbino na wakongwe ni wachawi au watu waliolaaniwa, na wale nduguzo wanaojilipua kwa kisingizio cha dini eti kwamba wanaenda mbinguni kupewa mabikra 72 ni mazwazwa au mazombie ya dini wasiojuwa ukweli na kuwa watumwa wa dini. Hizi dini zote Ukristo na Uislam zimejawa na mauwaji tu, hazina maana kwetu.