Masseto
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 1,615
- 3,205
wasudani nao ni waarabu. nao wanaongea iyo lughaNi waarabu coz wanaongea kiarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wasudani nao ni waarabu. nao wanaongea iyo lughaNi waarabu coz wanaongea kiarabu
Yaani hali ni mbaya mnoVijana wengi kwa asilimia kubwa wamekua wa ovyo. Eti wao wapo kwa Mange app. Tukiondoka sisi sijui itakuaje!!
Kwenu Afghanstan mnafanyaje watu kwa kutumia dini au Allah? Wacha kuwa zwazwa mtoto weweeee, kuna wanyama zaidi ya wale watu?Na wewe unajiita nani? Hivi wale wa Afghanistan utawalinganisha na waafrika tulionao huku wanaokatiza maisha ya watu!! Ingawa co wote wabaya!! Mtu ananyofolewa uke/uume utasema mtu mwema huyo! Albino anauawa, mzazi anamtoa kafara mwanae kisa mali, mtu anapigwa kiberiti kisa ameiba hela ama bidhaa kiduchu utasema hao ni wema!! Unyama wa aina nyingi hufanyika, nikiorodhesha hapa utachoka kusoma 😁
Uzbeki na Tajikiswengine ni Hazaras
Kwaiyo apo umemaliza [emoji3]Ni wahindi buana
Na ilikuaje wakafika hilo eneoNi kama wahindi wale..asili moja na wapakistan. Sio waarabu
Na ilikuaje wakafika hilo eneo karibu na marekaniEti wakuu, watu wa Afghanstan ni jamii gani?
Mkuu nielezee kidogo hapaUzbeki na Tajikis
Kwenu Afghanstan mnafanyaje watu kwa kutumia dini au Allah? Wacha kuwa zwazwa mtoto weweeee, kuna wanyama zaidi ya wale watu?
Kwahiyo Afghanistan ipo karibu na Marekani?Na ilikuaje wakafika hilo eneo karibu na marekani
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ooh sorry mkuu, nimeona. Nilichanganya jina usijali tuko pamojaKwahiyo Afghanistan ipo karibu na Marekani?
Pole kwa wazazi wako waliotupa pesa ya ada kukupeleka shule kufuta ujinga kumbe ulikwenda kubeba ujinga.
Zamani Atlas tulikuwa tukiikariri tangu darasa la 4, watoto wa sasa sijui imekuwaje?
Niruhusu niendelee kukusakama😊 ulichanganya na jina la nchi gani? Hakuna nchi iliyoishia na Stan iko karibu na Marekani.Ooh sorry mkuu, nimeona. Nilichanganya jina usijali tuko pamoja
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Wale ni wahindi. Ingawa wanaongea kipashtuun.Waarabu
Wale ni wahindi. Ingawa wanaongea kipashtuun.
Mbali na Hazara ambao ni mabaki ya Mongolians other ethnic groups are Tajikis na Uzbekis hawa pamoja na Pashtuns ndio wanaokaa Nchi ya Afghanistan.Mkuu nielezee kidogo hapa