ramadhani kanwata
Member
- Mar 24, 2018
- 41
- 53
Ni wakinga bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndevu zile na kobazi plus zile dont touch unaweza kupata jibu au tembelea maeneo ya Pemba
Toa Ujinga Wewe,
Ungeeleweka zaidi kama ungesema sio waarabu ni kina nani.
JF ya siku hizi watoto wengi aisee.
Sasa ndio cha kupaniki hiki?Toa Ujinga Wewe,
Ungeeleweka zaidi kama ungesema sio waarabu ni kina nani.
JF ya siku hizi watoto wengi aisee.
Wengi ni mayahudiEti wakuu, watu wa Afghanstan ni jamii gani?
Wengi ni mayahudiHawaongei Kiarabu, lugha zao kuu ni Pashtun na Urdu haswa kwa upande unaopakana na Pakistan.
Usikariri Kijana soma soma soma!
Hahaha hunaga makuu mwananguNasoma comments
Acha ujuha mkuuWale watu wameharibikiwa kupitia kile kitabu
Hao ndiyo waisrael OGPashtun; moja ya jamii yenye ujasiri na roho ngumu kwenye USO wa dunia
Ni jamii ya wahindi kama walivyo wapakistani, ila kuna makabila nmbalimbali ambapo kubwa ni Pashtun.Eti wakuu, watu wa Afghanstan ni jamii gani?
Ni machotara wa kipersia,wahindi na waajemiEti wakuu, watu wa Afghanstan ni jamii gani?
Wanaweza kuwa wanaongea kiarabu sawa na Watanzania wanavyoongea Kiingereza. Lugha yao ni Kiajemi.Ni waarabu coz wanaongea kiarabu
Orijino ni Waajemi. Wengine wamehamia.
Waajemi na sio WaarabuWaarabu