Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Ndevu zile na kobazi plus zile dont touch unaweza kupata jibu au tembelea maeneo ya Pemba
Wazee wa udini huwa hamkosekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndevu zile na kobazi plus zile dont touch unaweza kupata jibu au tembelea maeneo ya Pemba
Toa Ujinga Wewe,Sio waarabu,,,,
Wanaongea kifursi (Kiirani/Persia), sio kiarabu.Ni waarabu coz wanaongea kiarabu
Ni wahindi sio waarabuWaarabu
Hawaongei kiarabu,Wana lugha yao,ya kipakistani.Ni waarabu coz wanaongea kiarabu
Yaani inasikitisha sanaaa. Siku sinavyozidi kusogea JF inazidi kupoteza thamani yake na Nguvu ya kutoa elimu, Mtu anacomment kitu asichokuwa na uhakika nacho bila kujua athari zake ni nini, Media za bongo zinachangia sana kuendea kwa Mizizi ya UjingaBora yako,,,wengine wanacomments kwa kubahatisha
Why mnapenda sana kupotosha umma kwa mambo yasiyo sahihi na fasaha? Kama kitu hujui fanya kwanza research kabla ya kukurupuka na kucomment.Hiyo ni jamii ya makanjubai kama ilivyo kwa wapakistani ,wote wawili na pakistani wamekuwa ma kaksi baada ya kufuata mudi ism ijapo kuwa kuna baadhi wanasema hao wa afighan ni lost clan ya izrael hakuna ushahidi
Huwa unajisikiaje kuukashifu uislamu na kitabu kitukufu Qur'an? Huwa nakukana na kukuweka sawa, lakini bado unaendelea na dhihaka zako.Wale watu wameharibikiwa kupitia kile kitabu
Udini unawasumbua,,Ni watumiaji wa madawa ya kulevya tu.Wapowapo kama wafuga ndevu wasio na future.
Ni waarabu coz wanaongea kiarabu
Msamehe tu, Ujinga na Upumbavu ni Janga kubwa linalosumbua Nchi yetu kwa Sasa.Huwa unajisikiaje kuukashifu uislamu na kitabu kitukufu Qur'an? Huwa nakukana na kukuweka sawa, lakini bado unaendelea na dhihaka zako.
Udini unawasumbua,,
Hapana co waarabu,,,so hata waafrika wanaojua kiarabu pia ni waarabu!!!
Yaani inasikitisha sanaaa. Siku sinavyozidi kusogea JF inazidi kupoteza thamani yake na Nguvu ya kutoa elimu, Mtu anacomment kitu asichokuwa na uhakika nacho bila kujua athari zake ni nini, Media za bongo zinachangia sana kuendea kwa Mizizi ya Ujinga
Wale watu wameharibikiwa kupitia kile kitabu
Ndio hivyo Mkuu hatuna namna, ila hapo ndio unapata picha Kamili ya Muelekeo wa Taifa letu huko mbeleni. Hatari sanaaWengine washaingiza na udini, na kukashifu kitabu kitukufu Qur'an👇🏼