Hivi watu wa Afghanstan ni wazungu, waarabu au wahindi?

Hivi watu wa Afghanstan ni wazungu, waarabu au wahindi?

Hiyo ni jamii ya makanjubai kama ilivyo kwa wapakistani ,wote wawili na pakistani wamekuwa ma kaksi baada ya kufuata mudi ism ijapo kuwa kuna baadhi wanasema hao wa afighan ni lost clan ya izrael hakuna ushahidi
 
Hiyo ni jamii ya makanjubai kama ilivyo kwa wapakistani ,wote wawili na pakistani wamekuwa ma kaksi baada ya kufuata mudi ism ijapo kuwa kuna baadhi wanasema hao wa afighan ni lost clan ya izrael hakuna ushahidi
Why mnapenda sana kupotosha umma kwa mambo yasiyo sahihi na fasaha? Kama kitu hujui fanya kwanza research kabla ya kukurupuka na kucomment.
 
Wale watu wameharibikiwa kupitia kile kitabu
Huwa unajisikiaje kuukashifu uislamu na kitabu kitukufu Qur'an? Huwa nakukana na kukuweka sawa, lakini bado unaendelea na dhihaka zako.
Ni watumiaji wa madawa ya kulevya tu.Wapowapo kama wafuga ndevu wasio na future.
Udini unawasumbua,,
Ni waarabu coz wanaongea kiarabu

Hapana co waarabu,,,so hata waafrika wanaojua kiarabu pia ni waarabu!!!
 
Yaani inasikitisha sanaaa. Siku sinavyozidi kusogea JF inazidi kupoteza thamani yake na Nguvu ya kutoa elimu, Mtu anacomment kitu asichokuwa na uhakika nacho bila kujua athari zake ni nini, Media za bongo zinachangia sana kuendea kwa Mizizi ya Ujinga

Wengine washaingiza na udini, na kukashifu kitabu kitukufu Qur'an👇🏼
Wale watu wameharibikiwa kupitia kile kitabu
 
Ukiangalia zile nchi ambayo wameiweka ile dini ya nchi wengi ni km wanaishi kuzimu
 
Back
Top Bottom