chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Binafsi sioni ajenda ambayo aliisimamia yeye kama Waziri Mkuu na ikafanikiwa. Hakuna Mkoa utaenda au nchi kwa ujumla ukakuta mtu anasema hii imefanyika kwa sababu ya Majaliwa.
Anayejua anijuze.
Mzee pinda anakumbukwa kwa kilimo kwanza, Lowassa shule za Kata.
Anayejua anijuze.
Mzee pinda anakumbukwa kwa kilimo kwanza, Lowassa shule za Kata.