Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Wajifunze kutulia.....ukishindwana na huyu ndo uwe na yule....siyo kuwapanga kimafungu....Lazima uumbuke mwisho wa siku...........em subiri kidogo....umean wote anasex nao?
 
Watu wana vipaji sana sema hawavitumii sehemu sahihi tupate maendeleo
Sasa kuweza kupata mbususu nne saba zinakuoea utamu uoni kuwa ni maendeleo?
Alafu waafrica bwana, maendeleo ni ya wadhungu tuu sie waafrica maendeleo yetu ni teuzi basi.
 
Sasa kuweza kupata mbususu nne saba zinakuoea utamu uoni kuwa ni maendeleo?
Alafu waafrica bwana, maendeleo ni ya wadhungu tuu sie waafrica maendeleo yetu ni teuzi basi.
Mwenye uzi amekuja sina budi kuaga na kuondoka
Nakadori
 
Sio wanawake wote tupo hivyo Kuna mengine unakutana nayo ya usaliti Tena mkubwa tu unafumba macho maisha yanaenda maana kushindana na mwanaume ni ngumu na Wala hatulipizi kikubwa kukazana kutafuta hela tu.
 
Sasa kuweza kupata mbususu nne saba zinakuoea utamu uoni kuwa ni maendeleo?
Alafu waafrica bwana, maendeleo ni ya wadhungu tuu sie waafrica maendeleo yetu ni teuzi basi.
Wewe mzungu kwanii
 
Wapeni mbinu ya Kuteka wazee wenye Pensheni maana zile hela huwa sijui zina mapepoo.. wazeee wanawajengeaga kabisa michepuko kama sio kuwanunulia magarii. Udangaji mzuriii shida Ngoma sasa hapo ndo balaa maana wazee wakiwa na pesaa wanakulaa kila ainaa ya utamu.
 
Ata wewe mkuu utaachaje kula hadi mifupa maana account inasoma bil 40, huna majukumu ya ada wala nini kwa nini usiwapelekee moto warembo wenye tamaaa
 
Kwan hukupata notes za kajala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…