Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje


Na vitabia vya umalaya wanavyo hao sio wanawake watulivu ,mwanaume hata umpe dunia atasaliti tu kikubwa heshima na aoneshe kujutia usaliti wake.mbususu zitakutoa roho ww
 
Weee umenielewa 😚🀣🀣🀣
Me mwenyewe nshapiga mishe hizo mbona..m
Achana na hawa akina mtakatifu matayo kwa keyboard wakat wana mazabe yako kibao. Asee siku ya mwisho me nakadori nitakuwa mtakatifu sana baada ya kusikiliza Zambi za wenzangu wanaojiona wacha Mungu hapa. Uzuri nawapanga kwenye foleni ya kuchukua vidonge vyao hadi wengine wamegeuka marafiki sana. Maana ukija vibaya nakupokea vibaya.
 
Humu kuna wafiraji
Kuna malayaaa
Kuna mashoga
Kuna mabasha
Waseme suu niwataje...uzuri me huwa sijali. Nawaheshimu wajiheshimu ohh
Hataa usihangaike kuwataja.


Binadam nikiumbe Cha ovyoooo sana ni waigizaji sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…