DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Kila mtu ana play part yake Kwa mda wake Kwa sababu najua hata kwao sipo peke yanguEwaaaa
Hebu tuambie wale ke wanne umewapangaje hawajuani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ana play part yake Kwa mda wake Kwa sababu najua hata kwao sipo peke yanguEwaaaa
Hebu tuambie wale ke wanne umewapangaje hawajuani
Kaa kulia upande wa dereva. Ndio safe zaidi.Mbele kabisa kushoto dirishani🙇
😀😀😀😀😀ni kipajiWana wa Tanzania amani iwe kwenu.
Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje??
Me ningekamatwa day 1 kwakweli.
Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata 10 walikuwa wanafika. Unaweza kuta mmeenda kwenye mishe flani mnachukua Lodge unashangaa tu anakwambia G me Leo sitalala hapa nna mtu wangu nshampanga.... nabaki nashangaa mtu gani huyu kila mahali ana wa kumlala ....?
Ngoja nimuite Carlos The Jackal mtaalam kabisa atupatie uzoefu wake...inakuwaje kuwaje hawakamatwii?
View attachment 2557599
Utamkamata vipi mtu ambaye ni tabia yake, jichunguze wewe kama siyo muongo ukijaribu kusema uongo unajishtukia mwenyewe.Ndo nataka kujua inakuwaje hawakamatwii?
Wee kumbe!! Ngoja nihamie kulia nyuma ya dereva hapa☺️🙇!Kaa kulia upande wa dereva. Ndio safe zaidi.
Hahahah dr katika ubora wakoUtamkamata vipi mtu ambaye ni tabia yake, jichunguze wewe kama siyo muongo ukijaribu kusema uongo unajishtukia mwenyewe.
Lakini Sasa matapeli yenyewe kuongopa wala hayapati shida wakavuu.
Unakuta kitu liongo linamwambia demu akaguwe apartment mikocheni akiipenda ampangie wakati hiyo pesa hana, au unakutana na matapeli wa Ccm wanakuahidi lami mpaka kilele cha mlima Kilimanjaro.
Wazoefu wa mjini hawashindwi kuuza kiwanja kimoja kwa watu 8 tofauti.Wana wa Tanzania amani iwe kwenu.
Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje??
Me ningekamatwa day 1 kwakweli.
Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata 10 walikuwa wanafika. Unaweza kuta mmeenda kwenye mishe flani mnachukua Lodge unashangaa tu anakwambia G me Leo sitalala hapa nna mtu wangu nshampanga.... nabaki nashangaa mtu gani huyu kila mahali ana wa kumlala ....?
Ngoja nimuite Carlos The Jackal mtaalam kabisa atupatie uzoefu wake...inakuwaje kuwaje hawakamatwii?
View attachment 2557599
Hizi kesi zipo sana mjini kuna watu hawana woga.Wazoefu wa mjini hawashindwi kuuza kiwanja kimoja kwa watu 8 tofauti.
Mjini shule!!
HahahahaWatu makomandoo naka, 🤣 watu 7 hamjuani na kila mmoja anajiona yeye ndio alfa na omega,
ila kuna baadhi ya wanaume huwa tunajua, ila tunachukulia easy kikubwa utelezi unapatikana.. unajua kabisa hapa kuna ima,peter n.k lakini mtu unapuuzia, huchukulii serious.
Umalaya ni tabia ya mtu naka,
Hahaa.. sijui wenye michepuko wana mbinu gani, mie tabia yangu safi kama yako naka, sisi huwa tukikamatika sehemu moja ndio basi tena.Hahahaha
Na nyie mnafanyeje wasijuane?