Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Kwanza, Simu yangu Ina Password kwenye contact, Calls, msg, gallery na pia Nina App zangu za kuficha Baadhi ya Taarifa.


Pili, Ukiwa na wengi kama wee ni mwanaume lazima Ujiamin, úsiwe na woga au wasiwasi wa kukamatwa n.k.

Tatu, Lazima uwe umeshatengeneza mazingira Kwa Wife ya yeye kujua unaopendwa na Wanawake wengine huko mtaani ila huwataki,unamtaka wife wako tuu .

Nne, Ongea na simu au chat Kwa kujiamin hata kama mko na Wife, ukipigiwa simu na Mchepuko, wee pokea tu alafu Lopokaa "Nambieee Mpenzi wangu , wee unapiga simu muda Huu Niko na Mkalia Moyo wangu je huogopi Mwenye Mali kukupiga finboo??. Alafu chekaa chekaaaa ... hapo mchepuko atajiongeza , mtapiga Stori zingine na Hata ukikata Simu, Wife atajua ni masihara akitaka kujua zaidi ,unazugaa, Aaahhh Kadada fulan ka kazin huko kana visaaaaaa akooo!!


Tano, Hakikisha Michepuko yako inajua wee ni Mume wa mtu ,yaan akupe mbususu akijua huwezi kumuoa na kwamba wee ni Mume wa mtu.

Sita, Hakikisha unamjali sana Mkeo, na familia, yaaan wasipungukiwe kitu, hakikisha hakikisha hata shooo unampa ya maana mkeo , msifie sana Mkeo ,wakati unamla unamwambia yaan Wife kiukweli Toka nizaliwe sikuwah kutana na utamu huuu ,umenifanya Wanawake wengine ni waone kama wanaume wenzangu, Sina hamu nao hataaaaa !!.



Kwa ufupi, mambo mengi nishayaeleza humu kupitia nyuzi zangu, naweza kuhitimisha Kwa kusema
👉kua Alpha Male !!
👉Mfanye Mkeo / michepuko wawe watumwa wako KIHISIA !!.
👉Jua wajibu na majukumu yako kama Kichwa Cha familia, na kama Bwana wa michepuko.



Muda huu, nipo Lodge, nimeshampiga Mchepuko bao mbili , kaondoka, na Chupi yake nimwambia aiache........... Kama mkeo ndio anatoka kanisan na chupi hajavaa ndan, amebaki na taiti, ujuee chupi kamuachia Carlos.🤣


Huyu kanitunuku baada ya bao 7 za Simba Jana.

Yeye kaondoka, namsubiria mwingine aje pia nimle ,Yuko njiani.


👉Niliamka mapema sana, nikamwambia naenda kukuletea Mbuzi tumchinje umle supu kufuatia Ushindi wa Simba, Mbuzi nikampata, nikampa Boda Ampeleke, nikampigia Jiran yangu Muslim anayenichinjia , tayari Mbuzi keshachinjwaa !!
(sasa hapo wife atajuaje ??).


wale wazee wa picha
Mbuzi mwenyewe huyo ,hapo Wife kanitumia Picha keshachinjwaa 🤣

View attachment 2557651
Saa ngapi Wifez atakua na wazo kwamba nachepuka??.


Haya ,Tumeseji twa Bidada wangu wakati wa mechi na baada hutuapa.
View attachment 2557663

Hayaa Asubuhiii alinichek tukapanga kuonana, Mimi nilivyotoka kununua Mbuzi na kumpa Boda, nikapita Lodge kuchukua chumba na tumepeana utamuuuu
Na chupi nmemwambia iache, naye kaacha hii hapa
View attachment 2557668

Sasa hivi ndo nasubiri huyu nayeeee aje jamaani, nimpige Viwili , Kisha niende home Kwa Mke wangu, namkuta keshaniandalia madikodikioooo ,nakula, nalala usingizi 🤣🤣
View attachment 2557682
Huyu yeye nilimdanganya Wife kasafiri, Sasa mwanzo alidhan nataka nimtombeee Kwangu... BIG NOOO.!!


yaan Wakuuu Maisha ni simpoooo sanaz msifanye kua magumu, Wala msinyamaneee.


Nashangaa Kuna jamaa zinafanya Kutiana Mwanaume Kwa Mwanaume.

Wakati papuchiii tumeumbiwa sisi !!😏😏😏

Pole yenu !!! Wakati nyie mnatiana wanaume Kwa wanaume.

Wacha sisi Tuendelee kuwapoozea Wake zenu bwashaaa
Nyieee simmeamua kua waleviii wapombe ,vitambiii ,hamfanyi mazoezi , mmejuoa ma Presha, visukari na Sasa mna Matatizo ya nguvu za kiume ?.


Sawa endeleeni tu !!.
Hilo chupi sasa
Carlos The Jackal naomba kama unampenda muacha chu..pi basi nikupatie chimbo la vifunika asali matata.
Alaf chup ameiacha unaipeleka wapii? Ujue ww gaidi sana....

Haya turudi kwenye mada...wewe ni legendary asee.... dahh sio kwa mipango hyo ya kuwatindua
Ila nikiona tu simu ya mwanaume ina password kila kona huwa najua nimeyavaa
 
Nakadori unataka kusemaje.. Hujawahi kupitia mbili tatu.. Ngoja tutafute kungwi akupekue.
 
Huu Uzi naona wadada wako front kusoma mbinu za kivita[emoji1]
Mku waache tu wasome.

Unajua ki anatomically, Kuna kitu tunaita Corpus Callosum , hi ni Bundle ya Nerve Fibers yaan nikama katyubu hivi kalikobeba ma nerves mengi sana karibia Milion 300.

Hii Corpus Callosum ni kama Daraja, tinaliita pia Neural Bridge Kazi yake ni kupitisha Mawasiliano ya Ubongo Upande wa Kushoto na kulia yaan left and right cerebral hemispheres !!.


Sasa Kwa Wanawake, hiii Daraja ni Pana alafu Refu , Kwa hiyo kufanya Wanawake wawe na uwezo mkubwa sana yaan informations zote za sensory , motor na cognitive , Kwa wanawake zinafanyika Kwa haraka sana.

Ndio MAANA Wanawake Huwa wanauwezo wa kujua hatua ya pili inayofuata na wenye kumbukumbu.

Sasa kilichotokea nn?.

Pamoja na kwamba wanahuo Uwezo, Sisi wanaume tulipewa Uwezo wa Kuwashinda !! 🤣🤣


Mwanamke unaweza kumwambia, aiseee Mimi Carlos Nina Wanawake wengi sanaaaaa na siwez kuwaacha,. Na mpaka ukanionyesha pichaaa zao ,akawaona.

Lakn huyohuyo mwanamke , ukimwambia, nmekuelewaa, naomba unipe Mzigo, naye atakupa tu bila hiyanaa !!.



Sio kwamba hawana akili, hapana, Wana akili sana na Uwezo mkubwa sana, ila Nature inawataka wawe hivo mbele ya Mwanaume.
 
Watu wana vipaji sana sema hawavitumii sehemu sahihi tupate maendeleo
Ndugu yangu mmoja aliwahi kuambiwa hivyo nilicheka sana..

Mwamba yule hata mwanamke awe vipi ata hangaika hadi ampate na amkule.. Alikuwa na msururu wa totozi.. Kimbembe hela hana.

Ndugu yake ndio akamwambia angekuwa na juhudi ya kusaka kazi na hela kama anavyopambania wanawake angekuwa mbali sana kiuchumi... Toka siku hiyo alikoma kusimamishia kila mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawah
Me nkochoka mahali huwa natema naanza upya. Mmoja mmoja ndo mpango
Alaah, kumbe unasubiri kuchoka.. Wengine wanajipanga mapema. Kwa hyo wakati umepata tawi jipya lile bovu bado linashikilia shati.. Unajikuta una headquarter na branches kama mbili tatu [emoji28]
 
Hilo chupi sasa
Carlos The Jackal naomba kama unampenda muacha chu..pi basi nikupatie chimbo la vifunika asali matata.
Alaf chup ameiacha unaipeleka wapii? Ujue ww gaidi sana....

Haya turudi kwenye mada...wewe ni legendary asee.... dahh sio kwa mipango hyo ya kuwatindua
Ila nikiona tu simu ya mwanaume ina password kila kona huwa najua nimeyavaa
Chupi ndo yenyewe maana Ina vutika, ana matakoo heavy yamejaaa makubwaa mnoooo .

Hilo chimbo lako likoje, usije kua ni chimbo Cha chupi za saizi ya X 🤣🤣.


Sasa kama ukikuta ni Password, utaniacha??? .

DeepPond
 
Carlos katuwakilisha vyema wanaume, ni zamu ya wanawake kutoa mbinu zenu za kivita.
 
Back
Top Bottom