toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Aisee hujakutana na ma professional una deal na ma learner... Huwez kumkamata kirahis professionalMe ukinipanga siku ya 1 tu najua kwamba hapa tuko mtu zaidi ya 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hujakutana na ma professional una deal na ma learner... Huwez kumkamata kirahis professionalMe ukinipanga siku ya 1 tu najua kwamba hapa tuko mtu zaidi ya 1
Hahahahahaha achaga tuNdugu yangu mmoja aliwahi kuambiwa hivyo nilicheka sana..
Mwamba yule hata mwanamke awe vipi ata hangaika hadi ampate na amkule.. Alikuwa na msururu wa totozi.. Kimbembe hela hana.
Ndugu yake ndio akamwambia angekuwa na juhudi ya kusaka kazi na hela kama anavyopambania wanawake angekuwa mbali sana kiuchumi... Toka siku hiyo alikoma kusimamishia kila mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hilo chimbo lina size zote za kisasa...Chupi ndo yenyewe maana Ina vutika, ana matakoo heavy yamejaaa makubwaa mnoooo .
Hilo chimbo lako likoje, usije kua ni chimbo Cha chupi za saizi ya X 🤣🤣.
Sasa kama ukikuta ni Password, utaniacha??? .
DeepPond
We kikwete si unalamba asali tu au usituchanganye aseeHuko Moshi mvua zimegoma shauri ya pombe na ngono
Hahahaha wapi .... Huo wivu tu hahahahah 🤣🤣🤣🤣 .Hahaha hilo chimbo lina size zote za kisasa...
Huyo manz ako bado fala...
Yan una..to... ma dr halafu ch...p ya buku jero kariakoo??
Nakupa chimbo buree kabisa siku umuendee na zawadi ili akupe yote
Trust me kuna mtu huwez kujua... Sa kama hata simu yako mtu hashik na yake hushiki unajuaje ndugu yangu....Najua vizuri tu sema ushahidi ndo ntakosa
Hahahaha nimeona unajaribu kumshusha Hadhi Bidada wangu, ili hali ni mtu na nusuu.😂😂😂😂😂naona unanichambaa haya master guide bwana
Kuna siku ataangukia pua ,mtu alieambukizwa within 2 weeks kipimo kitasoma negWanatembea na vipimo siku hizi
Yule shosti alikuwa anapima hata mara 30 kwa mwezi
Wamejaaliwa ofisi kazi yao ni kutoa huduma nackuitumia hio ofisi kuboresha Maisha yaoWana wa Tanzania amani iwe kwenu.
Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje??
Me ningekamatwa day 1 kwakweli.
Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata 10 walikuwa wanafika. Unaweza kuta mmeenda kwenye mishe flani mnachukua Lodge unashangaa tu anakwambia G me Leo sitalala hapa nna mtu wangu nshampanga.... nabaki nashangaa mtu gani huyu kila mahali ana wa kumlala ....?
Ngoja nimuite Carlos The Jackal mtaalam kabisa atupatie uzoefu wake...inakuwaje kuwaje hawakamatwii?
View attachment 2557599
Ni mke wa mtu ?Kwanza, Simu yangu Ina Password kwenye contact, Calls, msg, gallery na pia Nina App zangu za kuficha Baadhi ya Taarifa.
Pili, Ukiwa na wengi kama wee ni mwanaume lazima Ujiamin, úsiwe na woga au wasiwasi wa kukamatwa n.k.
Tatu, Lazima uwe umeshatengeneza mazingira Kwa Wife ya yeye kujua unaopendwa na Wanawake wengine huko mtaani ila huwataki,unamtaka wife wako tuu .
Nne, Ongea na simu au chat Kwa kujiamin hata kama mko na Wife, ukipigiwa simu na Mchepuko, wee pokea tu alafu Lopokaa "Nambieee Mpenzi wangu , wee unapiga simu muda Huu Niko na Mkalia Moyo wangu je huogopi Mwenye Mali kukupiga finboo??. Alafu chekaa chekaaaa ... hapo mchepuko atajiongeza , mtapiga Stori zingine na Hata ukikata Simu, Wife atajua ni masihara akitaka kujua zaidi ,unazugaa, Aaahhh Kadada fulan ka kazin huko kana visaaaaaa akooo!!
Tano, Hakikisha Michepuko yako inajua wee ni Mume wa mtu ,yaan akupe mbususu akijua huwezi kumuoa na kwamba wee ni Mume wa mtu.
Sita, Hakikisha unamjali sana Mkeo, na familia, yaaan wasipungukiwe kitu, hakikisha hakikisha hata shooo unampa ya maana mkeo , msifie sana Mkeo ,wakati unamla unamwambia yaan Wife kiukweli Toka nizaliwe sikuwah kutana na utamu huuu ,umenifanya Wanawake wengine ni waone kama wanaume wenzangu, Sina hamu nao hataaaaa !!.
Kwa ufupi, mambo mengi nishayaeleza humu kupitia nyuzi zangu, naweza kuhitimisha Kwa kusema
[emoji117]kua Alpha Male !!
[emoji117]Mfanye Mkeo / michepuko wawe watumwa wako KIHISIA !!.
[emoji117]Jua wajibu na majukumu yako kama Kichwa Cha familia, na kama Bwana wa michepuko.
Muda huu, nipo Lodge, nimeshampiga Mchepuko bao mbili , kaondoka, na Chupi yake nimwambia aiache........... Kama mkeo ndio anatoka kanisan na chupi hajavaa ndan, amebaki na taiti, ujuee chupi kamuachia Carlos.[emoji1787]
Huyu kanitunuku baada ya bao 7 za Simba Jana.
Yeye kaondoka, namsubiria mwingine aje pia nimle ,Yuko njiani.
[emoji117]Niliamka mapema sana, nikamwambia naenda kukuletea Mbuzi tumchinje umle supu kufuatia Ushindi wa Simba, Mbuzi nikampata, nikampa Boda Ampeleke, nikampigia Jiran yangu Muslim anayenichinjia , tayari Mbuzi keshachinjwaa !!
(sasa hapo wife atajuaje ??).
wale wazee wa picha
Mbuzi mwenyewe huyo ,hapo Wife kanitumia Picha keshachinjwaa [emoji1787]
View attachment 2557651
Saa ngapi Wifez atakua na wazo kwamba nachepuka??.
Haya ,Tumeseji twa Bidada wangu wakati wa mechi na baada hutuapa.
View attachment 2557663
Hayaa Asubuhiii alinichek tukapanga kuonana, Mimi nilivyotoka kununua Mbuzi na kumpa Boda, nikapita Lodge kuchukua chumba na tumepeana utamuuuu
Na chupi nmemwambia iache, naye kaacha hii hapa
View attachment 2557668
Sasa hivi ndo nasubiri huyu nayeeee aje jamaani, nimpige Viwili , Kisha niende home Kwa Mke wangu, namkuta keshaniandalia madikodikioooo ,nakula, nalala usingizi [emoji1787][emoji1787]
View attachment 2557682
Huyu yeye nilimdanganya Wife kasafiri, Sasa mwanzo alidhan nataka nimtombeee Kwangu... BIG NOOO.!!
yaan Wakuuu Maisha ni simpoooo sanaz msifanye kua magumu, Wala msinyamaneee.
Nashangaa Kuna jamaa zinafanya Kutiana Mwanaume Kwa Mwanaume.
Wakati papuchiii tumeumbiwa sisi !![emoji57][emoji57][emoji57]
Pole yenu !!! Wakati nyie mnatiana wanaume Kwa wanaume.
Wacha sisi Tuendelee kuwapoozea Wake zenu bwashaaa
Nyieee simmeamua kua waleviii wapombe ,vitambiii ,hamfanyi mazoezi , mmejuoa ma Presha, visukari na Sasa mna Matatizo ya nguvu za kiume ?.
Sawa endeleeni tu !!.
Hata kama ana trako kama greda ushamba haujamtoka. Akatafute kyupi bwana akamilishe urembo wake.Hahahaha nimeona unajaribu kumshusha Hadhi Bidada wangu, ili hali ni mtu na nusuu.
Nikajua eaaaaahh Wanawake Kuna wakati mnamuonea wivu mtu hata humjui 🤣🤣🤣
Huyu Bidada ni Bidada kweli ,Ana matakoooo na mahips yakukimbiaaaa .
Yaan mwanamke hata uvae chupi ya Dhahabu, bila takoo kubwa 🤣🤣🤣
Huo ni ubatiliiii mtupu !!!!