Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Unajua gubu la Athumani anakaguakagua simu yako hapo😁
Kama lile shenzy la jana liko busy eti unachat na nani na mwisho likasusa...
Hivi rafiki wa kawaida kweli unibane nisiingie hata jf kusoma ujinga wangu?
 
Ukitaka kupata na headache uwe na msururu ndio utajua hujui....ushapanga mtoko na bakari unashangaa Athumani kapaki nje gari muondoke!hapo Sasa ndio utasikia kisirani Cha bakari simu mfululizo na kukungojea kwenye kuduka Cha Mangi unarudi saa ngapi!huku nako simu za dulla haziishi🤔🤔🤔
Speaking from experience?
😅😅😅
 
Mpaka muda huu Uzi bado upo safe hakuna zile comments zileeee😂😂
Ila nacheka na comments mieeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio Taifa lilipofikia,huyo anajiita ni daktari imagine anasema kabisa anakupa dawa za uongo na kweli,anatisha raia na taarifa za uongo ili apate pesa,Lakini haya Ni matokeo na kuzuka kwa vyuo vya afya kibao vinavyochukua form 4 failure wenye D tatu na kuwapa taaluma bila maadili.
Hajasema anatoa dawa za uongo ila unalikuza tatizo ili mteja afunguke vizuri...
Hili kwenye biashara za ishu za afya halikwepekii.
Unatoka asubuhi unapanga kabisaa leo nina kimeo kinataka laki 3 na kweli jioni ukipiga hesabu ipo....
Mfano uwezo wa mteja ni kununua let's say dawa ya elfu 3 unamtengenezea mazingira kwa kulikuza tatizo ili aweze kununua dawa bora yenye kutibu ugonjwa huo huo so badala ya kununua ya elf 3 ananunua ya elf 20000. Plus vipimo na consultation .
 
Ndio Taifa lilipofikia,huyo anajiita ni daktari imagine anasema kabisa anakupa dawa za uongo na kweli,anatisha raia na taarifa za uongo ili apate pesa,Lakini haya Ni matokeo na kuzuka kwa vyuo vya afya kibao vinavyochukua form 4 failure wenye D tatu na kuwapa taaluma bila maadili.
Mpaka nimeogopa , siyo sahihi kabisa ila ndiyo wapo na tupo nao
 
Hajasema anatoa dawa za uongo ila unalikuza tatizo ili mteja afunguke vizuri...
Hili kwenye biashara za ishu za afya halikwepekii.
Unatoka asubuhi unapanga kabisaa leo nina kimeo kinataka laki 3 na kweli jioni ukipiga hesabu ipo....
Mfano uwezo wa mteja ni kununua let's say dawa ya elfu 3 unamtengenezea mazingira kwa kulikuza tatizo ili aweze kununua dawa bora yenye kutibu ugonjwa huo huo so badala ya kununua ya elf 3 ananunua ya elf 20000. Plus vipimo na consultation .
Medical ethic haielekezi hivi..... Medical ethics inaelekeza kuweka all possible options mezani hlf mgonjwa achague na siyo kudanganya na kupamba pamba
 
Medical ethic haielekezi hivi..... Medical ethics inaelekeza kuweka all possible options mezani hlf mgonjwa achague na siyo kudanganya na kupamba pamba
Talking of ethics hapa Tanzania??
alafu TRA wakija watapunguza kodi kwa kuwa ulikuwa ethical ?
Anyways we are all unethical inategemea tu ni upande gani kila mmoja wetu ameangukia kwao
 
Hajasema anatoa dawa za uongo ila unalikuza tatizo ili mteja afunguke vizuri...
Hili kwenye biashara za ishu za afya halikwepekii.
Unatoka asubuhi unapanga kabisaa leo nina kimeo kinataka laki 3 na kweli jioni ukipiga hesabu ipo....
Mfano uwezo wa mteja ni kununua let's say dawa ya elfu 3 unamtengenezea mazingira kwa kulikuza tatizo ili aweze kununua dawa bora yenye kutibu ugonjwa huo huo so badala ya kununua ya elf 3 ananunua ya elf 20000. Plus vipimo na consultation .
Unafikiri kuwa unatoka tu uchafu halafu ukapewa dawa ya kaswende impact yake Nini?
 
Ni gharama.

Unatakiwa uwe na constant flow of money !!.



Mimi nawapiga piga sababu, Nikiingia Job, umezubaaa nimekupiga 100k , umekuja na mkeo Sijui anatokea uchafu , nakupa vitisho weeeee ili wee na Mkeo muogope kuwa wagumba hapo nawapiga helaa,. Nawapa dawa Bora nashikashika tu uongo nakweli.


Nakupigia helaaa.


Hiyo helaa ndio naenda kununua Viatu..au Kwa ajili ya mchepuko 🤣🤣🤣

Ka mshahara kako palepale, ka bizinez Kako palepale 🤣🤣
Mzee kwahio unawapiga fix wagonjwa? 🤣
Hii ni hatari sana bablai.
 
Back
Top Bottom