Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

🤣🤣🤣Hii mvua ndo yenyewee, papuchi Inakua yamotooo zaidi
Bado tu umegandaa?
Kanywe supu kwa mkeo bwana
Ukifika kwa hasira unamalizia huko huko jikoni anajua mahaba Niue kumbe hasira za kutelekezwa
 
Ni gharama.

Unatakiwa uwe na constant flow of money !!.



Mimi nawapiga piga sababu, Nikiingia Job, umezubaaa nimekupiga 100k , umekuja na mkeo Sijui anatokea uchafu , nakupa vitisho weeeee ili wee na Mkeo muogope kuwa wagumba hapo nawapiga helaa,. Nawapa dawa Bora nashikashika tu uongo nakweli.


Nakupigia helaaa.


Hiyo helaa ndio naenda kununua Viatu..au Kwa ajili ya mchepuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ka mshahara kako palepale, ka bizinez Kako palepale [emoji1787][emoji1787]
[emoji16]
 
Ukitaka kuwapanga afu usikamatwe au ka unaona unawapanga afu hukamatwi basi ujue mwenza wako mume au mke nae malaya kama wewe....

Mmoja asipokua malaya lazma atamkamata mwenzie tu..
 
Ni gharama.

Unatakiwa uwe na constant flow of money !!.



Mimi nawapiga piga sababu, Nikiingia Job, umezubaaa nimekupiga 100k , umekuja na mkeo Sijui anatokea uchafu , nakupa vitisho weeeee ili wee na Mkeo muogope kuwa wagumba hapo nawapiga helaa,. Nawapa dawa Bora nashikashika tu uongo nakweli.


Nakupigia helaaa.


Hiyo helaa ndio naenda kununua Viatu..au Kwa ajili ya mchepuko 🤣🤣🤣

Ka mshahara kako palepale, ka bizinez Kako palepale 🤣🤣
Dah this is unethical
 
Kwanza, Simu yangu Ina Password kwenye contact, Calls, msg, gallery na pia Nina App zangu za kuficha Baadhi ya Taarifa.


Pili, Ukiwa na wengi kama wee ni mwanaume lazima Ujiamin, úsiwe na woga au wasiwasi wa kukamatwa n.k.

Tatu, Lazima uwe umeshatengeneza mazingira Kwa Wife ya yeye kujua unaopendwa na Wanawake wengine huko mtaani ila huwataki,unamtaka wife wako tuu .

Nne, Ongea na simu au chat Kwa kujiamin hata kama mko na Wife, ukipigiwa simu na Mchepuko, wee pokea tu alafu Lopokaa "Nambieee Mpenzi wangu , wee unapiga simu muda Huu Niko na Mkalia Moyo wangu je huogopi Mwenye Mali kukupiga finboo??. Alafu chekaa chekaaaa ... hapo mchepuko atajiongeza , mtapiga Stori zingine na Hata ukikata Simu, Wife atajua ni masihara akitaka kujua zaidi ,unazugaa, Aaahhh Kadada fulan ka kazin huko kana visaaaaaa akooo!!


Tano, Hakikisha Michepuko yako inajua wee ni Mume wa mtu ,yaan akupe mbususu akijua huwezi kumuoa na kwamba wee ni Mume wa mtu.

Sita, Hakikisha unamjali sana Mkeo, na familia, yaaan wasipungukiwe kitu, hakikisha hakikisha hata shooo unampa ya maana mkeo , msifie sana Mkeo ,wakati unamla unamwambia yaan Wife kiukweli Toka nizaliwe sikuwah kutana na utamu huuu ,umenifanya Wanawake wengine ni waone kama wanaume wenzangu, Sina hamu nao hataaaaa !!.



Kwa ufupi, mambo mengi nishayaeleza humu kupitia nyuzi zangu, naweza kuhitimisha Kwa kusema
👉kua Alpha Male !!
👉Mfanye Mkeo / michepuko wawe watumwa wako KIHISIA !!.
👉Jua wajibu na majukumu yako kama Kichwa Cha familia, na kama Bwana wa michepuko.
Hapooo bwana wa michepukooo😂😂😅miee hoii...una tuzo yakoooo
 
Ukitaka kupata na headache uwe na msururu ndio utajua hujui....ushapanga mtoko na bakari unashangaa Athumani kapaki nje gari muondoke!hapo Sasa ndio utasikia kisirani Cha bakari simu mfululizo na kukungojea kwenye kuduka Cha Mangi unarudi saa ngapi!huku nako simu za dulla haziishi🤔🤔🤔
 
Bado tu umegandaa?
Kanywe supu kwa mkeo bwana
Ukifika kwa hasira unamalizia huko huko jikoni anajua mahaba Niue kumbe hasira za kutelekezwa
@Nakadori usiombe uwe na ham ya makange then ukikosa uende kula roast wala hainogi
 
Ukitaka kupata na headache uwe na msururu ndio utajua hujui....ushapanga mtoko na bakari unashangaa Athumani kapaki nje gari muondoke!hapo Sasa ndio utasikia kisirani Cha bakari simu mfululizo na kukungojea kwenye kuduka Cha Mangi unarudi saa ngapi!huku nako simu za dulla haziishi🤔🤔🤔
Hapo kandege kanahusika kwenye simuu
Haha au unaweka call baring kabisa 😂😂😂😂
 
Ukitaka kupata na headache uwe na msururu ndio utajua hujui....ushapanga mtoko na bakari unashangaa Athumani kapaki nje gari muondoke!hapo Sasa ndio utasikia kisirani Cha bakari simu mfululizo na kukungojea kwenye kuduka Cha Mangi unarudi saa ngapi!huku nako simu za dulla haziishi[emoji848][emoji848][emoji848]
Kuna kafilam kakikorea kanitwa cheaters kulikuwa na mschana mbali na kuigiza ila alifaidika mara 2 maana alikuwa anawapanga kama mabehewa, call waiting, yupo kwa huyu mwingine kapaki gari nje anamsubiria akitoka tu kinaumana, anakula mjegejo huku jamaa mwingine anapiga simu haipokelewi
 
Kuna kafilam kakikorea kanitwa cheaters kulikuwa na mschana mbali na kuigiza ila alifaidika mara 2 maana alikuwa anawapanga kama mabehewa, call waiting, yupo kwa huyu mwingine kapaki gari nje anamsubiria akitoka tu kinaumana, anakula mjegejo huku jamaa mwingine anapiga simu haipokelewi
Yaani kifupi lazima uwe na hekaheka na tayari kwa tukio muda wowote...unakuwa zaidi ya mwanaharakati na zaidi ya customer service wa call center
 
Back
Top Bottom