Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

Maana hii statement umenitisha kidogo.
Aaah ulitaka kujua kama namm Mke wangu ni chawote au?..


Ok, Ngoja nikujibu hivi... Unadhan kwann Ngono inasababishwa Uhai wa kiumbe kipya? Na kwann inasababishwa Kifo cha kiumbe?.


Yaan ni ivi, Mwanamke anavyotoa bikra anatoa nguvu ya kiRoho ya uanamke wake , na akishaitoa basi Ili shetan asile tunda lake ni LAZIMA AWE MWENYE KUSALI KWELIKWELI.

Ushawah jiuliza, kwann mwanamke hawez msahau alomtoa bikra?.

Achana na Bikra... Ukweli nikwamba, Mwanaume yoyote aitwae EX Boy , ili mradi aliiweza kumla mwanamke fulan.... Uwezekano wakumla Tena upooo haijalishi ni miaka mingapi itapita.


Mambo ni mengi, itishe tu kusema , mambo mengine ni kufunika kombe tuu , tusiwe serious sana na kuanza kuchunguzana.
 
Hakuna bwana
Kuwapanga na kutokuwa bikra havina uhusiano kabisaa
Mkuuu , yaan kama ulishindwa kumuheshim Mungu ,alokuambia tendo la Ndoa ni mpaka Ndoani.

Wee ukatoa bikra na miaka 16 ukiwa kidato Cha tatu.

Usidhan Kuna miujiza itakayofanya usiliwe !!.


Unajua, wee Mwanamke unatongozwa!!.
 
Mkuuu , yaan kama ulishindwa kumuheshim Mungu ,alokuambia tendo la Ndoa ni mpaka Ndoani.

Wee ukatoa bikra na miaka 16 ukiwa kidato Cha tatu.

Usidhan Kuna miujiza itakayofanya usiliwe !!.


Unajua, wee Mwanamke unatongozwa!!.
Acha mbwembwe...
Kuwapanga haina uhusiano na kupoteza ile seal
 
Acha mbwembwe...
Kuwapanga haina uhusiano na kupoteza ile seal
Thread 'Ukinichiti nakuchiti' Ukinichiti nakuchiti

Unakumbuka huo Uzi wako ?????.


Mwanamke Makini hawezi kua na fikra za hivo Hata siku Moja Mkuu !!.


Alafuu, Leo una bwana huyu, maez mmeachan una bwana mwingine ,mwezi ule mwingine...


Wewe ni umewapnga tu tofauti yako nawao nikwamba wee ukiachana nammoja, ndo unaingia Kwa mwingine.
 
😂🙌 Basii imetosha
Aahh Mimi nawaambia , mnajua JF hiii tushukuru hizi fake IDs !!.

Na hamna mwanamke anayetaka KUONEKANA Malaya hapa chini ya Jua.


Kwahiyo nyote humu Wanawake, mnataka mjionyeshe kwamba ni ma Innocent 🤣🤣🤣.


Babuuuuu weee, huko nje mna washikajii Kadhaa Kadhaa !!!
 
😅😅😅 Kwahiyo unashauri nipige tu Hela?

Juzi ilikuwa nipige Dili ya milioni kabisa lkn mgonjwa nikampa all options akachagua kisichonipa Hela hlf kwangu ilikuwa fine tu.
Hongera sana chief kwa kulinda maadili yako ya taaluma...
 
Kwanza, Simu yangu Ina Password kwenye contact, Calls, msg, gallery na pia Nina App zangu za kuficha Baadhi ya Taarifa.


Pili, Ukiwa na wengi kama wee ni mwanaume lazima Ujiamin, úsiwe na woga au wasiwasi wa kukamatwa n.k.

Tatu, Lazima uwe umeshatengeneza mazingira Kwa Wife ya yeye kujua unaopendwa na Wanawake wengine huko mtaani ila huwataki,unamtaka wife wako tuu .

Nne, Ongea na simu au chat Kwa kujiamin hata kama mko na Wife, ukipigiwa simu na Mchepuko, wee pokea tu alafu Lopokaa "Nambieee Mpenzi wangu , wee unapiga simu muda Huu Niko na Mkalia Moyo wangu je huogopi Mwenye Mali kukupiga finboo??. Alafu chekaa chekaaaa ... hapo mchepuko atajiongeza , mtapiga Stori zingine na Hata ukikata Simu, Wife atajua ni masihara akitaka kujua zaidi ,unazugaa, Aaahhh Kadada fulan ka kazin huko kana visaaaaaa akooo!!


Tano, Hakikisha Michepuko yako inajua wee ni Mume wa mtu ,yaan akupe mbususu akijua huwezi kumuoa na kwamba wee ni Mume wa mtu.

Sita, Hakikisha unamjali sana Mkeo, na familia, yaaan wasipungukiwe kitu, hakikisha hakikisha hata shooo unampa ya maana mkeo , msifie sana Mkeo ,wakati unamla unamwambia yaan Wife kiukweli Toka nizaliwe sikuwah kutana na utamu huuu ,umenifanya Wanawake wengine ni waone kama wanaume wenzangu, Sina hamu nao hataaaaa !!.



Kwa ufupi, mambo mengi nishayaeleza humu kupitia nyuzi zangu, naweza kuhitimisha Kwa kusema
[emoji117]kua Alpha Male !!
[emoji117]Mfanye Mkeo / michepuko wawe watumwa wako KIHISIA !!.
[emoji117]Jua wajibu na majukumu yako kama Kichwa Cha familia, na kama Bwana wa michepuko.
Hahaha hahaha.....umetisha mkuu
 
Sikiliza Bidada, inawezekana ukawa upo sahihi.

Nimeongea Kwa uzoefu .

Muda huuu ndo natoka kutomba mwanamke wa pili Kwa siku ya Leo.

Wote ni wake za watu.

Wote Wana hasira na Waume wao.

Wa kwanza nmemtomba kuanzia saa 3 mpaka saa sita ...bao mbili za masafa marefu...

Huyu ana hasira na Mumewe, baada ya Mumewe Kutembea na Rafiki yake kipindi Yeye kasafiri kwenda kumuuguza Mama yake hiyo ilikua ni Mwaka 2021 , ila mpaka Leo anakinyongo naye na Mume alikiri .... Mnyamwezi najipigia.


Wa pili naye nimepiga bao 2 kuanzia saa nane mpaka saa 11 na dakika 50 hivi .

Huyu Yeye ana hasira na kinyongo Kwa Mumewe, mwaka 2020 akiwa na mimba alojifungua mwaka 2021, aligundua ,Mumewe ametembea na Binti wa Dada yake , Binti huyu alikua kidato Cha nne ,alisomea Kwa Bidada huyu ( Mama Mdogo).........


Juzi ijumaa, nimemla mwingine, yeye ana kinyongo Kwa Mumewe kufuatia Mumewe Kutembea na Binti fulan mtaani kwao.

Hao ni baadhi ya wake za watu nilowala ambao sababu kubwa ya kuliwa ni hasira juu ya Waume wao !!.





my Dear, wee sema hujakutana na vichwa, yaan Mwanamke ajue Mumewe anamsaliti, na athibitishe, na Bado asiwe na Roho ya kisasi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heeeeeeee....mkeo asijue unamcheat...umekwisha
 
Thread 'Ukinichiti nakuchiti' Ukinichiti nakuchiti

Unakumbuka huo Uzi wako ?????.


Mwanamke Makini hawezi kua na fikra za hivo Hata siku Moja Mkuu !!.


Alafuu, Leo una bwana huyu, maez mmeachan una bwana mwingine ,mwezi ule mwingine...


Wewe ni umewapnga tu tofauti yako nawao nikwamba wee ukiachana nammoja, ndo unaingia Kwa mwingine.

Well said, kumbe utaratibu wa kuwapanga always she is upon, kaja kulia lia tu apa , [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana wa Tanzania amani iwe kwenu.

Me Leo wala sina mambo mengi .....natamani tu kujua wale wenzangu mnaowapanga wanawake au wanaume zaidi ya mmoja, wawili au watatu au zaidi mnawezaje? Me ningekamatwa day 1 kwakweli.

Yule shost angu aliyetulizwa kimazabe mazabe ndo ilikuwa zake.... yule hata 10 walikuwa wanafika. Unaweza kuta mmeenda kwenye mishe flani mnachukua Lodge unashangaa tu anakwambia G me Leo sitalala hapa nna mtu wangu nshampanga.... nabaki nashangaa mtu gani huyu kila mahali ana wa kumlala ....?

Ngoja nimuite Carlos The Jackal mtaalam kabisa atupatie uzoefu wake...inakuwaje kuwaje hawakamatwii?

View attachment 2557599

Updates baada ya kusoma comments

Carlos The Jackal ni bingwa wa kupanga wanawake
Kifupi ana nyota zake za kutosha na moto wake maalumu peponi.
Uzinzi ni roho kamili....ukiwa nayo utapata na mbinu za kuwapanga aisee,we hujawahi waza mtu wa kawaida anapata WAP ujasiri wa kuwapanga wanawake na wote anawaleta gheto majirani wanaona haoni hata aibu jaman???
 
Uzinzi ni roho kamili....ukiwa nayo utapata na mbinu za kuwapanga aisee,we hujawahi waza mtu wa kawaida anapata WAP ujasiri wa kuwapanga wanawake na wote anawaleta gheto majirani wanaona haoni hata aibu jaman???
Yeah wana ujasiri kweli
 
Back
Top Bottom