Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
waacheni wasitoe sadaka
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
WAO WENYEWE NI SADAKA KUBWA WAMETOLEA MAISHA YAO KWA NADHIRI, AHAADI ZA USEJA KUTOOA WALA KUOLEWA!!!
 
Ukiweza kuishi Kwa Ku-avoid sex then ukaamua ule muda wa kufanya na kuwaza sex ufanye mambo mengine productive ya dini Kama kufunfisha na kuhudumia kanisa , basi hiyo ni sacrifice kubwa .

Japo wapo mapadri ambao wana watoto kimyakimya .
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Na mlivyo mazuzu mtu akitaka kuwasanau kuwa mnapigwa, mnakimbilia kuwatukana kobazi,

Nikweli Watawa wanaendesha magari ya maana sana,na wakiwa kwenye mataa masikini wakiwasogelea kuwaomba wanapandisha vioo vya magari haraka
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Tatizo la watz hatufanyi utafiti. Ni kanisa la tz tu ndio mapd na watawa hawatoi sadaka! Sogea tu hapo Kenya uone! Sisi ni wanafiki kujifanya eti hawana vipato jambo ambalo sio kweli!
 
Back
Top Bottom