Kutokuoa kwako hakukufanyi uwe wakfu kama waoSadaka gani. Kutoa ndo excuse? Mbona wengi hatujaoa na tunatoa sadaka. Aftet all vile viapo vyap ni ungo. Eti umaskini kumbu wakimaanisha utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokuoa kwako hakukufanyi uwe wakfu kama waoSadaka gani. Kutoa ndo excuse? Mbona wengi hatujaoa na tunatoa sadaka. Aftet all vile viapo vyap ni ungo. Eti umaskini kumbu wakimaanisha utajiri
Unaweza fanya ibada bila uwepo wao?Ki vipi
Ndiyo. Kwani hao ndo mungu anawatambua tu mimi hanitambui? Au hao ndo wanamshikilia MunguUnaweza fanya ibada bila uwepo wao?
Hujui maana ya ibada acha kubwabwaja, huwezi kama unaweza Baki nyumbani ifanye mwenyewe au fungua kanisaNdiyo. Kwani hao ndo mungu anawatambua tu mimi hanitambui? Au hao ndo wanamshikilia Mungu
Uko sawasawa. Wao hawakugawiwa ardhi wala chochote wzlipotoka utumwani misri, kazi yao ni ukuhaniToka agano la kale, walawi ndio walikuwa makuhani, na ndio waliokuwa na haki ya kula sadaka inayotolewa kwa Mungu.
Mawazo mgando unayo wewe ambaye huelewi essence ya watu kutokuoa na kuolewa!!!Bado tu un a mawazo mgando kama hawaoi wala hawaolew kuumanisha wako vigin haaaa