Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Siyo rift ni lift.
Polisi pia hawalipi nauli kwenye mabasi, haya mambo yapo kulinda heshima ya kundi fulani.
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Kwa mujibu wa Kanisa Moja Katoliki la Mitume Walei (yaani sisi) ndio tunaotakiwa kutoa sadaka na kufunga Kwaresma. Hii niliipata nilipohudhuria Nyumba ya Malezi Bigwa Morogoro miaka hiyooooo nikifikiri naweza kuwa "Father"! Ahahahahaha!!!
 
Yesu alikuwa anatoa sadaka?

su
Ndio alitoa pamoja na kutoa uhai wake kama sadaka kwa wanadamu aliwalisha vyakula maelfu bure kwa gharama zake sio za kanisa au sunagogi

Maelfu wakala mikate na samaki hadi kusaza na kubeba makapu kibao kwa bili yake hakuchaji hata mia kutoa hiyo huduma kwa wenye njaa

Kazi yake haikuwa tu kupokea sadaka

Sadaka kila mtu lazima atoe hata kama mjane kama mwanamke wa serapta au yule maskini aliyetoa senti moja Yesu akamsifu kuwa katoa sana kuwa katoa vyote alivyonavyo

Ingekuwa leo na sadaka za jumuiya nk na kamera zinamulika padre angeweza mtukana yule aliyetoa senti moja kuwa hajafikia malengo kubalika kwenye parokia ,vigango na jumuiya

Sembuse padre katoa vyote vipi ? Posho yake sadaka mbona hajatoa sadaka,? Utapeli
 
Upadre mzuri kwa kweli Yesu aliwapa wanafunzi wake mkate wale halafu wateremshie na divai ili mkate utelemke vizuri koooni

Lakini mapdre hugawa sacramenti mkate pekee mtupu kwa waumini wameze kwa kutumia mate yao huku padre anaula mkate na kuumezea kwa divai ili uende tumboni vizuri

wachoyo halafu utakuta wanahubiri uchoyo mbaya wakati kila jumapili wao tu ndio wanakula mkate na kutelemshia ka divai na kuwaacha waumini wameze mkate kwa mate yao tu

Mapadre muwe na aibu acheni uchoyo
Mnakula kamkate na kutelemshia ka divai mna roho.ya uchoyo sio vizuri Mungu hapendi mjue uchoyo
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Kujitoa kwao kimwili na kiroho tayari ni sadaka tosha sana.

Wao wametoa maisha Yao kumtumikia Mungu,

Wameachs familia zao kumtumikia Mungu.

Sasa unataka sadaka ipi kubwa zaidi ya hiyo???
 
Nafikiri Ni utaratibu uliowekwa kadiri ya mapokeo, huduma anayotoa haina mshahara aiseee🤣🤣🤣,changamoto n kuwa tunawaona na vitu vya thamani lakini vingi wanakuwa wamepewa na waamini au mashirika.
 
Ukatoliki ni utaperi tangu enzi za ukoloni Bado tunaishi nao.. niliacha kwenda Kanisani mwaka 2006 .. baada ya kuanza kujielewa na kuanza kujiuliza maswali na kuanza kutafuta solutions kwenye kusoma soma vitabu finally Nika realize these stuffs are seriously scam introduced by whites in dark continent. I'm an atheist.. I hate religious, because it's source of all problems in the world , I'm not believer of any religion, I guide my life through my common sense .. if you want to get trouble in this world engaged to the religion..
 
Mimi sio wa imani hiyo ila naweza zungumza kwa mtazamo wa wanadhiri. Waliotoa maisha yao kumtumia Mungu na watu wake. Yaani wao maisha yao wameyatoa sadaka kwa kutonufaika na mambo ambayo wengine wananufaika. Hawa Hawapaswi kulipwa mshahara. Na kama wao ni sadaka kwanini watoe sadaka. Yaani sadaka itoe sadaka?
 
Karibu sana Parokia ya Mt. Maximilian Maria Kolbe hapa Mwenge uje kunitembelea
Nipo kwa ajili ya sikukuu ya Chritsmas. Ikiisha tu, nitarejea Parokiani kwangu huko Lushoto Tanga.
Karibu parokia ya Rangwi father
 
Sadaka gani. Kutoa ndo excuse? Mbona wengi hatujaoa na tunatoa sadaka. Aftet all vile viapo vyap ni ungo. Eti umaskini kumbu wakimaanisha utajiri
Dah! Mkuu, kama huitambui sadaka yao ya mwili na roho, na unaona ni kero kwako kutoa sadaka, unashauriwa usiende kutoa sadaka na ikikupendeza hata kwenye ibada zao ambazo zinahusu kipengele cha kutoa sadaka usihudhurie. Yan kuwa huru kabisa - hulazimishwi kuhudhuria, kutoa sadaka au kujihusisha kwa namna yoyote ile na mambo yao. Waachie wenyewe mambo yao.
Kwani kuoa ni kigezo cha wewe kutoa sadaka? Kajiunge na Kataa ndoa ili nafsi yako itulie.
Viapo vyao kama ni vya uongo au ni vya kweli-isikupe shidaa - We "tupakule".
 
Back
Top Bottom