Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugua halafu uende Parokiani kuomba msaada kama watakusikilizaNa mlivyo mazuzu mtu akitaka kuwasanau kuwa mnapigwa, mnakimbilia kuwatukana kobazi,
Nikweli Watawa wanaendesha magari ya maana sana,na wakiwa kwenye mataa masikini wakiwasogelea kuwaomba wanapandisha vioo vya magari haraka
Si wanajua hatuna akiliYale yale ya mchungaji akitaka gari anachangiwa ila wahumini wanaombewa
Kutooa ni kiini macho. Wanaginga daily na kugongwa kila sikuWAO WENYEWE NI SADAKA KUBWA WAMETOLEA MAISHA YAO KWA NADHIRI, AHAADI ZA USEJA KUTOOA WALA KUOLEWA!!!
Toa sadaka siumeenda mwenyewe kwa hiari? ulifuata nini kanisani au lifuatwa nyumbani na Padre? Padre aache kununua bia atoe sadaka na wakati kuna majiga yatakuja j2 kutoa hela ambayo haina kodi? Kumbuka ili uwe Padre lazima uwe na Master degree na kuendelea na siyo kuunga unga mara certificate sijui diploma jomba. Acha watu wale bia wakati wanasoma wewe unaendesha bodaboda.Kanisan kuna mtu anawaforce watu kwa kuwafata watoe sadaka hii nayo ni mpya
Kwanza kaenda kwa hiari hajafuatwa nyumbani, alienda kufanya nini kanisani kama hataki kutoa sadaka? Padre kasoma vizuri yeye wakati anaendesha boda boda Padre yupo darasani bado atoe na sadaka aache kula bia? tuwe na hurumaKwani kuna aliyekushikia mtutu kutoa sadaka?
Sasa na wewe si uombe uwe mtawa ili usitoe hiyo sadaka!!Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
ni ngumu KukusikilizaUgua halafu uende Parokiani kuomba msaada kama watakusikiliza
Acha kwenda kanisaniKi vipi
Sio kutoa sadaka tu, Hao ni watumishi wa Mungu na wanatumikia taasisi zinazotambulika na Serikali na wanalipwa posho mishahara na marupurupu, wao pamoja na taasisi zao wanapaswa kulipa kodi za Serikali Kama wengine.Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Ndiyo ujue hawapo kwa ajili yako, wanasubiri ufe wazike Padre apige sadaka atembeeni ngumu Kukusikiliza
Kwa mawazo yako hayo mahali unapoabudu siyo sahihi kwako, hata hivyo ukijinyenyekeza patakufaa.Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Mbona umepanick? Au wewe ni padreSasa na wewe si uombe uwe mtawa ili usitoe hiyo sadaka!!
Wao wenyewe ni sadaka tayari, walishajitoa maisha yao.Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.
Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.
Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!
Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Karibu sana Parokia ya Mt. Maximilian Maria Kolbe hapa Mwenge uje kunitembeleaMbona umepanick? Au wewe ni padre