Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Hivi why watawa au mapadre wako exempted kutoa sadaka? Mi sijui sababu na probably hata kwenye Biblia haimo

Kanisan kuna mtu anawaforce watu kwa kuwafata watoe sadaka hii nayo ni mpya
Toa sadaka siumeenda mwenyewe kwa hiari? ulifuata nini kanisani au lifuatwa nyumbani na Padre? Padre aache kununua bia atoe sadaka na wakati kuna majiga yatakuja j2 kutoa hela ambayo haina kodi? Kumbuka ili uwe Padre lazima uwe na Master degree na kuendelea na siyo kuunga unga mara certificate sijui diploma jomba. Acha watu wale bia wakati wanasoma wewe unaendesha bodaboda.
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Sasa na wewe si uombe uwe mtawa ili usitoe hiyo sadaka!!
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Sio kutoa sadaka tu, Hao ni watumishi wa Mungu na wanatumikia taasisi zinazotambulika na Serikali na wanalipwa posho mishahara na marupurupu, wao pamoja na taasisi zao wanapaswa kulipa kodi za Serikali Kama wengine.
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Kwa mawazo yako hayo mahali unapoabudu siyo sahihi kwako, hata hivyo ukijinyenyekeza patakufaa.
 
Nimeshangaa sana leo wakati naenda kutoa sadaka.

Yule msimamizi anayesimamia kunyanyuka bech kwa benchi alipofika walipo masista na ilikuwa robo ya watu wote , aliruka as if wao siyp watu kama sisi.

Huu unyonyaji jamani mpaka kanisani!

Halafu hawa watawa wanaendesha mikoko ya maana mitaani na ukiwaomba rift hawakupi.
Wao wenyewe ni sadaka tayari, walishajitoa maisha yao.
 
Back
Top Bottom